engmtolera
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 5,150
- 1,437
tomboka!
tena malizia kuwa anatomboka kikongo
kama vipi mpotezee tu,atasema mwishiwe atalala,akiamka wewe upo vilevile,epusha shari mkuu,maana kuna watu wanajiegesha tu kama bomu,ukigusa tu lako hilo,so please jifanye kama humwoni vileee