Si wa Usalule dah!mpwa Fide nikumbuke kwenye ufalme wako!
Acha tu hommie dah!Hommie kwa wale wenzetu wanasema 'kashukiwa na nyota ya jaha' :becky:
Hahaha hi imetulia kwa homeboy wangu FidelFidel80 usibadili mwelekeo mpaka tugonganeeeeeeeeeeeeee!!
We meet kwanza then ndo ubadiliiiiiiii
LOL
Fidel80 usibadili mwelekeo mpaka tugonganeeeeeeeeeeeeee!!
We meet kwanza then ndo ubadiliiiiiiii
LOL
ha ha ha ha!!!!!!!! kwenye red, mgonganeje?????:confused2:
Iteitei Lya Kitee Ushindwe na Ulegee kwa kutaka kumpotosha kondoo wa bwana.:violin:
Chloe,ajabu ni kwamba nami nimepata maono kama yako ila tofauti iliyoko Bwana anasema akitoka uvunguni asiende kitandani aende sitting room ili kuepusha vishawishi vya haraka.
:gossip: ngoja kwanza nimuulize Iteitei kama atakubali, maana hapo mapambio yatakuwa si ya kitoto he he he he he!!!Hapo Mkuu Fidel anakazi maana aliambiwa apande kitandani wakatia anajifikiria kupanda kitandani akatokea Iteitei anamwambia apande kwenye kitanda chake sasa ili kuondoa ugomvi tafuta kitanda cha kingsize halafu wewe ulale katikati kushoto Iteitel kulia Chloe hapo utakuwa umemaliza ugomvi :becky::becky::becky::becky:
Ila hatuwezi kukupoteza kwenye CHAMA tunataka UVUNE WANACHAMA WENGI ZAIDIIIIIIIIIIIIIII
pabaya ni wapi Lady N???? mbona me sijashikwa popote?????:couch2:!!!mshauri naona umeshikwa pabaya, poleeee!
me sijambo Teamo, Shkamooohahahahaha!
HABARRR YAKO CHOLE BREIN..........................!
:llama::llama:
MAR-HABAAAAAAAAAAAAAAA!me sijambo Teamo, Shkamooo