Usinichoke Fidel80

chloe.obrain

JF-Expert Member
Feb 25, 2010
391
20
najua utakuwa unaona kama nakubore au nakusumbua sana but naomba tu unielewe kwamba ni roho wa bwana amenena ndani yangu kwamba nikushawishi uachane na habari za kaunta(valuu), uachane na habari za nyumba ndogo make naona umepewa na cheo cha "Mshauri mkuu wa hicho chama" Fidel80 naomba uwe flexible na ukubaliane na mabadiliko haya ikibidi hata hiyo location yako ubadilishe, yaani utoke huko UVUNGUNI uhamie KITANDANI labda au SITTING ROOM.:pray:
ni rafikiyo kipendhi Chloe!!!!
(sorry kwa niliyemkwaza kwa hii post)
 
najua utakuwa unaona kama nakubore au nakusumbua sana but naomba tu unielewe kwamba ni roho wa bwana amenena ndani yangu kwamba nikushawishi uachane na habari za kaunta(valuu), uachane na habari za nyumba ndogo make naona umepewa na cheo cha "Mshauri mkuu wa hicho chama" Fidel80 naomba uwe flexible na ukubaliane na mabadiliko haya ikibidi hata hiyo location yako ubadilishe, yaani utoke huko UVUNGUNI uhamie KITANDANI labda au SITTING ROOM.:pray:
ni rafikiyo kipendhi Chloe!!!!
(sorry kwa niliyemkwaza kwa hii post)

Chloe kwanini umeamua kunikwaza asubuhi na mapema namna hii?
 
najua utakuwa unaona kama nakubore au nakusumbua sana but naomba tu unielewe kwamba ni roho wa bwana amenena ndani yangu kwamba nikushawishi uachane na habari za kaunta(valuu), uachane na habari za nyumba ndogo make naona umepewa na cheo cha "Mshauri mkuu wa hicho chama" Fidel80 naomba uwe flexible na ukubaliane na mabadiliko haya ikibidi hata hiyo location yako ubadilishe, yaani utoke huko UVUNGUNI uhamie KITANDANI labda au SITTING ROOM.:pray:
ni rafikiyo kipendhi Chloe!!!!
(sorry kwa niliyemkwaza kwa hii post)

matatizo mengine Chloe unajitakia mwenyewe, unaona sasa umechokoza wadau!!!!!!!!!mi sikusaidii kabisaaaaaa
 
matatizo mengine Chloe unajitakia mwenyewe, unaona sasa umechokoza wadau!!!!!!!!!mi sikusaidii kabisaaaaaa

Una namba zake za simu? wapi pope Kaizer:A S 100:.....hapa ndipo huwa umuhimu wake unakuwepo>>>> Katibu hebu nukuu hii thread kwa matumizi ya baadae...:A S 8::A S 8::A S 8::A S 8:
 
najua utakuwa unaona kama nakubore au nakusumbua sana but naomba tu unielewe kwamba ni roho wa bwana amenena ndani yangu kwamba nikushawishi uachane na habari za kaunta(valuu), uachane na habari za nyumba ndogo make naona umepewa na cheo cha "Mshauri mkuu wa hicho chama" Fidel80 naomba uwe flexible na ukubaliane na mabadiliko haya ikibidi hata hiyo location yako ubadilishe, yaani utoke huko UVUNGUNI uhamie KITANDANI labda au SITTING ROOM.:pray:
ni rafikiyo kipendhi Chloe!!!!
(sorry kwa niliyemkwaza kwa hii post)
Unajisumbua bure, huyo jamaa habadiliki!!!!
 
matatizo mengine Chloe unajitakia mwenyewe, unaona sasa umechokoza wadau!!!!!!!!!mi sikusaidii kabisaaaaaa

i hope wadau kutoka chama pinzani watanisaidia, ila nawewe ukiona nimezidiwa unisaidie bana:smile-big::smile-big:
 
wapi fidel wajamen!i wanna hear frm him mayb atakubali kuchange direction!!!!!
lol naona aspirin anataka kuruka na m2!!!!!!
 
Una namba zake za simu? wapi pope Kaizer:A S 100:.....hapa ndipo huwa umuhimu wake unakuwepo>>>> Katibu hebu nukuu hii thread kwa matumizi ya baadae...:A S 8::A S 8::A S 8::A S 8:

Si unaona sasa, nimeshaombwa namba yako ya simu Chloe!!!!hebu niambie nimpe???
 
nikushawishi uachane na habari za kaunta(valuu), uachane na habari za nyumba ndogo make naona umepewa

Kha! vingine naweza kubadili lakini hapo juu mmmh :confused2:
Nasubili maombi ya Rev. Masanilo
Nasubili ushauri wa Asprin je upo tayari nipotee kundini?
Nasubili baba wa infidelity papaa Teamo
Namsubili mtaalamu mwenyewe Kaizer
Na wengineo jamani huu ushauri kwa kweli mgumu.
 
Kha! vingine naweza kubadili lakini hapo juu mmmh :confused2:
Nasubili maombi ya Rev. Masanilo
Nasubili ushauri wa Asprin je upo tayari nipotee kundini?
Nasubili baba wa infidelity papaa Teamo
Namsubili mtaalamu mwenyewe Kaizer
Na wengineo jamani huu ushauri kwa kweli mgumu.
:confused2::confused2: NGOJA NIKU :A S 100: manake naona maneno hutanielewa vizuri. Hii thread ni tishio kwa chama!:confused2::confused2:
 
FIDEL alikuwa anafuatilia dhamana ya YOYO aliyekamatwa kule machimboni akizibua njia.
Ila nashukuru kuwa sina mshauri humu maana yule wa mwisho mliyemtuma aje kunishauri, hivi sasa analea mimba yangu
 
FIDEL alikuwa anafuatilia dhamana ya YOYO aliyekamatwa kule machimboni akizibua njia.
Ila nashukuru kuwa sina mshauri humu maana yule wa mwisho mliyemtuma aje kunishauri, hivi sasa analea mimba yangu
ROFL! kibali cha kutotumia mipira ulikipatia wapi? Hicho kwa mujibu wa kanuni lazima kisainiwe na viongozi waandamizi:becky::becky:
 
Back
Top Bottom