chloe.obrain
JF-Expert Member
- Feb 25, 2010
- 391
- 20
najua utakuwa unaona kama nakubore au nakusumbua sana but naomba tu unielewe kwamba ni roho wa bwana amenena ndani yangu kwamba nikushawishi uachane na habari za kaunta(valuu), uachane na habari za nyumba ndogo make naona umepewa na cheo cha "Mshauri mkuu wa hicho chama" Fidel80 naomba uwe flexible na ukubaliane na mabadiliko haya ikibidi hata hiyo location yako ubadilishe, yaani utoke huko UVUNGUNI uhamie KITANDANI labda au SITTING ROOM.ray:
ni rafikiyo kipendhi Chloe!!!!
(sorry kwa niliyemkwaza kwa hii post)
ni rafikiyo kipendhi Chloe!!!!
(sorry kwa niliyemkwaza kwa hii post)