Sura-ya-Kwanza
JF-Expert Member
- Nov 17, 2007
- 566
- 10
Kwa kweli sasa Siasa zinapamba moto... Wakati 2010 haiko mbali, wana itikadi wadai- Wanawake, Vijana na Wazazi wa CCM ni Wachafu mno...
Wanalumbana kusivyo.
Hivyo, marufuku kumchafua Kijana, Mwanamke au Mzazi wa mwana CCM!
Kwa habari Zaidi Bofya hapa...
Nafikiri Siasa itakuwa haina moto kama sitaweza kuwachafua wenzangu--Hautakuwa mchezo mzuri kuwa sopu sopu saa zote.
Au vipi Wasafi Wenzangu?
Wanalumbana kusivyo.
Hivyo, marufuku kumchafua Kijana, Mwanamke au Mzazi wa mwana CCM!
Kwa habari Zaidi Bofya hapa...
Nafikiri Siasa itakuwa haina moto kama sitaweza kuwachafua wenzangu--Hautakuwa mchezo mzuri kuwa sopu sopu saa zote.
Au vipi Wasafi Wenzangu?