BRO EDDY
Member
- Dec 6, 2010
- 22
- 3
Ya kaisari mpe Kaisari na ya MUNGU mpe MUNGU! Huwezi kumjaribu BWANA MUNGU wako! MUNGU alimtoa YESU auwawe kwa ajili yetu, MUNGU pia alileta gharika na kuteketeza kizazi chote na kumuacha NUHU na wanyama aliowateua, Mungu pia anasema kila roho itaonja mauti ili ifike kwake.
Haina maana kuwa ukinywa kikombe cha Babu hautakufa na kuwa utaishi milele! Babu haombei bali anakupa dawa unywe hivyo tusimbeze umati wote huu unaoenda kwake, unaonesha wazi yote ni ya kweli kama ni uongo ungejulikana mapema na watu wangesitisha!
Kumbuka huwezi kumjaribu BWANA MUNGU wako na hatujui siku wala saa!!
Haina maana kuwa ukinywa kikombe cha Babu hautakufa na kuwa utaishi milele! Babu haombei bali anakupa dawa unywe hivyo tusimbeze umati wote huu unaoenda kwake, unaonesha wazi yote ni ya kweli kama ni uongo ungejulikana mapema na watu wangesitisha!
Kumbuka huwezi kumjaribu BWANA MUNGU wako na hatujui siku wala saa!!