Usimjaribu bwana mungu wako!!!

BRO EDDY

Member
Dec 6, 2010
22
3
Ya kaisari mpe Kaisari na ya MUNGU mpe MUNGU! Huwezi kumjaribu BWANA MUNGU wako! MUNGU alimtoa YESU auwawe kwa ajili yetu, MUNGU pia alileta gharika na kuteketeza kizazi chote na kumuacha NUHU na wanyama aliowateua, Mungu pia anasema kila roho itaonja mauti ili ifike kwake.

Haina maana kuwa ukinywa kikombe cha Babu hautakufa na kuwa utaishi milele! Babu haombei bali anakupa dawa unywe hivyo tusimbeze umati wote huu unaoenda kwake, unaonesha wazi yote ni ya kweli kama ni uongo ungejulikana mapema na watu wangesitisha!

Kumbuka huwezi kumjaribu BWANA MUNGU wako na hatujui siku wala saa!!
 
Katika UTOAJI TU (kumtolea sadaka na shukrani), tumeruhusiwa KUMJARIBU! Soma Malaki 3:8-10
 
Ni kweli,mimi nadhani badala ya kumbeza babu wa Loliondo na tiba yake,ni bora mtu akanyamaza kimya kama haamini.si vizuri kubeza jambo ambalo huna uhakika wa ukweli wake.yaani hujui kama ni kweli ama si kweli halafu unabeza.hata ukijua kuwa ni uongo,ni vema kutoa ushauri kwa watu kwa lengo la kuwasaidia.tukumbuke wengi wanaokwenda kwa babu ni wale wenye matatizo kiafya,na hiyo ni ktk kuhangaika ili kupata afya.unapokuwa na shida kubwa huwa unasikiliza kila ushauri na kutamani kuufanyia kazi ili upate msaada.TUSIWABEZE WANAOKWENDA KWA BABU,TUSIMBEZE BABU NA TIBA YAKE.BALI TUSAIDIANE KUSHAURIANA.
 
Hapa sio mahala pa andiko hili mzee. Soma mt.4:1 na kuendelea uone mazingira ya matumizi ya andiko hili.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom