bacha
JF-Expert Member
- Aug 19, 2010
- 4,282
- 797
- Thread starter
- #21
unajuaje labda tunaenda kuchukua ujuzi huko nje na kuuleta ndani... lol
Mkuu nimekusoma..............
Lakini ndo yale yale siku zote huwa tuasikia,
mwanamke akijaribu kuonyesha maufundi yake,
ambayo awali hukuyaona, baba nae anaweza akaanza kuhoji.....................