Huyu ndio mwanamume wa kweli. Hapa akipewa usiku kucha ni haki yake kwa sababu madhara ya kukamua full time anajua kukabiliana nayo. Hongera kidume cha mfano.
Na wewe uliyeleta hii picha hapa jamvini, pata soda moja barido kwa bili yangu
kweli maisha ni kusaidiana kama hawa wawili ila sasa ewe mwanamke kama mueo ndio huyu please usimfanye ajute, muheshimu sana na mpe mzigo wake kama apendavyo siyo anakusaidia halafu usiku unadai nimechoka kimoja tu unamgeuzia mgongo. utalaaiwa wewe
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.