Kama ni EGG CHOPS je ni mayai gani? Ni mayai ya kienyeji au ni mayai ya kisasa? Hembu kamilisha huu ujumbe tuweze kuuelewa!
WHERE IS TANZANIA BUREAU OF STANDARD?AU NDO 10% KWENYE MAISHA YETU?MAYAI YA KICHANA YAKOJE HEBU MNAYOYAFAHAMU TUELEZANE:bump:
ni ugonjwa unaosababishwa na mayai ya kichina!waliokula hayo mayai kupitia egg chop wamedhurika !mayai ya kichina hayatagwi na kuku hutengenezwa kwa mashine!
ni ugonjwa unaosababishwa na mayai ya kichina!waliokula hayo mayai kupitia egg chop wamedhurika !mayai ya kichina hayatagwi na kuku hutengenezwa kwa mashine!