KakaJambazi
JF-Expert Member
- Jun 5, 2009
- 18,711
- 12,067
Baada ya mpiganaji Jeri Muro kupata matatizo, kipindi hiki sasa hakina tija kabisa, kimekua ruined.
Mkuu Jerry alitisha kwenye"ripoti Maalum ITV, na baada ya kuhamia TBC1 alianzisha kipindi kilichovuta hisia za wengi cha "usiku wa Habari, TBC1.
Tulikua 'tukiinjoi' na habari za kiuchunguzi, zilizojaa skendo,ufisadi na ukiukwaji wa haki za binadamu.
Kwa sasa hatuoni sababu ya kulala saa tano usiku. Kipindi kimejaa maswali yalio-fremiwa,ya kumpa promo anayehojiwa,ka vile mwandishi ameonywa 'ukilikoroga utalinywa mwenyewe.'
Tulikua tukishuhudia, kesho yake wakuu lazima waje watoe tamko,au hatua, na kibongobongo, tume zilikua zinaundwa, sa ivi hakuna kitu,hakuna anaeangalia, kwa mbaaali Sudi Mnete anajitahidi.
Hakuna maswali ya titi for tat, yaan maswali ni ya kiuoga uoga tu. Hakuna tofauti na kipindi cha Daladala.
Au ni TV yangu tu wakuu!!, kama sio basi naomba hiki kipindi kifutwe.
Mkuu Jerry alitisha kwenye"ripoti Maalum ITV, na baada ya kuhamia TBC1 alianzisha kipindi kilichovuta hisia za wengi cha "usiku wa Habari, TBC1.
Tulikua 'tukiinjoi' na habari za kiuchunguzi, zilizojaa skendo,ufisadi na ukiukwaji wa haki za binadamu.
Kwa sasa hatuoni sababu ya kulala saa tano usiku. Kipindi kimejaa maswali yalio-fremiwa,ya kumpa promo anayehojiwa,ka vile mwandishi ameonywa 'ukilikoroga utalinywa mwenyewe.'
Tulikua tukishuhudia, kesho yake wakuu lazima waje watoe tamko,au hatua, na kibongobongo, tume zilikua zinaundwa, sa ivi hakuna kitu,hakuna anaeangalia, kwa mbaaali Sudi Mnete anajitahidi.
Hakuna maswali ya titi for tat, yaan maswali ni ya kiuoga uoga tu. Hakuna tofauti na kipindi cha Daladala.
Au ni TV yangu tu wakuu!!, kama sio basi naomba hiki kipindi kifutwe.