Nawe bana
Umezidi ku complaine kila kitu..
Hakuna mwanga mara umezidi..
Embu acha kudeka..
Wife wake tayari kashambana!Nduka ndo ka toka nduki<br />
Nakuacha thread au kapitiwa tu ...
Dah..inabidi jamaa basi atumie mbinu mbadala kukurudisha kwenye mood!
Kheeee!!Basi kama hutaki kunisikiliza...haikua lazima!!
Yeah, its true, Niliona mahali fulani bila kutegemea.. i said wooow! this look familiar to me, then ukawa topic yetu kwa mchana ule...... don't change itAfadhali elia umeipenda
Kumbe vitu vingi at first sight huwa vinaonekana vibaya lakini with time vinaonekana vizuri!!
Mbona mnakasirikiana jamani?Yamekua hayo?!
Kwaheri!!!
Mbona mnakasirikiana jamani?
Ooh..sijui mlikuwa positively au negatively abt it!Yeah, its true, Niliona mahali fulani bila kutegemea.. i said wooow! this look familiar to me, then ukawa topic yetu kwa mchana ule...... don't change it
Hahahha...haya bana, sina comment!Basi tu....twagombania attention yako!!
Yamekua hayo?!<br />
Kwaheri!!!
Ukinuna ndo napenda zaidi...
Just playin...usije ukaogopa bure!!Hahahha...haya bana, sina comment!
Hajarudi tu?...mpira umeisha mi ndio narudi kwa maamaa! Najua kanuna sana, lakini najua namna ya kumbembeleza!Just playin...usije ukaogopa bure!!
Duhhhh
Nuna baasi ..naooombaaa
Hahaha...hauna lolote!!Jiandae kuhesabu mapaa darini.Mi wangu nimemwambia alale huko huko maana sitafungua mlango!Hajarudi tu?...mpira umeisha mi ndio narudi kwa maamaa! Najua kanuna sana, lakini najua namna ya kumbembeleza!