Nduka Original
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 1,012
- 816
Usiku mwema jamani nawatakia good night na my wife zenu. Mimi nami ndo naenda kuangusha na my wife wangu
Asante sana! Umesahau kututakia na sisi na my husband zetu...lol..
Msalimie my wife wako aka wifi yetu wa ukwee!
Hahaha...kwani mi nmesema unao wangapi?...Haya jamani na nyie usiku mwema na my husband zenu, hee we sweetlady kwani mi si nina mmjo tu!!! lol, acha umbea
Hahaha...kwani mi nmesema unao wangapi?...
<br />Usiku mwema jamani nawatakia good night na my wife zenu. Mimi nami ndo naenda kuangusha na my wife wangu
Eeh namaansha wa ukweeee! Haya na wewe lala sasa, unamchosha my wifi kwa kukusubiri....Umesema wifi wa ukweeeeeeeeeeeeeee!!!! halafu ulale acha kumsumbua shemeji yangu kachoka na kazi leo
Usiku mwema nawe pia!<br />
Wengine ndio tunaamka!
Kitandani kwa baridiiRudi kitandani ..
DuhhhhKitandani kwa baridii<br />
Ngoja kwanza niangalie mpira wa madrid vs barca
Haya mi kesho ntafungua ya kuwajulia hali asubuhi...AD atafungua ya kututakia mchana na mlo mwema alafu Rejao atafunguo ya kututakia jioni njema!!!
Teh teh teh lolz
Rejao hajui tofauti ya
Asubuhi, mchana wala jioni
Itabidi umbp lolz
Kwa leo atanisamehe..Duhhhh<br />
Unakoishi nakupa pole..<br />
<br />
Anyway mkumbatie mamitoo...
NtamPM muda ukifika...<br />
Alafu wewe kuna mtu kaniboa leo!!!
Kwa leo atanisamehe..<br />
Mbele ya mpira yeye anabaki benchi!<br />
Mpira ni chaguo la kwanza