Kifulambute
JF-Expert Member
- May 8, 2011
- 2,539
- 755
Jamani wana jamvi habari za asubuhi?
natumaini hamjambo na mnaendeleza taifa ili tufikie miaka 100 ya uhuru tukiwa angalau mgao wa umeme umepungua ama kufikia siku 2 kwa week ama mwezi.
Leo wakati nakuja ofisini nimekutana na ugomvi mkubwa kwa jirani yetu kisa my waife wake amekuta message asubuhi kwenye simu yake imetumwa kwa msichana na aliyetuma ni mume wake imeandikwa " USIKU MWEMA MPENZI SIMU YANGU IMEISHA CHARGE" mi nikawa namuuliza yule jamaa kama ni kwelui ni mpenzi wake ila kiukweli yule jamaa sio lover wake bali wameishazoeana kuitana mpenzi, sweet na mengine.
Je kama ni wewe ingekuwaje?
natumaini hamjambo na mnaendeleza taifa ili tufikie miaka 100 ya uhuru tukiwa angalau mgao wa umeme umepungua ama kufikia siku 2 kwa week ama mwezi.
Leo wakati nakuja ofisini nimekutana na ugomvi mkubwa kwa jirani yetu kisa my waife wake amekuta message asubuhi kwenye simu yake imetumwa kwa msichana na aliyetuma ni mume wake imeandikwa " USIKU MWEMA MPENZI SIMU YANGU IMEISHA CHARGE" mi nikawa namuuliza yule jamaa kama ni kwelui ni mpenzi wake ila kiukweli yule jamaa sio lover wake bali wameishazoeana kuitana mpenzi, sweet na mengine.
Je kama ni wewe ingekuwaje?