Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,227
- 113,583
sentensi ya huyo mwana jf haieleweki, uhusiano wa kidnapping na condom, which is which?
Umeona eeh? Nimejaribu kuunganisha lakini sioni muunganiko. Maybe I missed the memo!
sentensi ya huyo mwana jf haieleweki, uhusiano wa kidnapping na condom, which is which?
Wewe kama umeelewa tueleze basi uhusiano wa kondomu na utekwaji au utekaji (nyara).
Jamani mbona mmekuwa wakali namna hiyo? Mwelewesheni taratibu sio wote wenye uelewa sawa!
Mimi nadhani alijaribu kuunganisha dhambi ya kutoa mimba na dhambi ya kutumia condom (kuna dini nyingine wanaconderm kabisa kuwa hii bi dhambi) so kama zote ni dhambi tufanyeje - tuache kufanya mapenzi kabla ya ndoa na ndani ya ndoa tuzae tu tukaijaze dunia hata kama hatuna uwezo wa kuwalea hao watoto - hakuna kutumia kinga. Ni thread nzuri hii kuidiscuss but nadhani zipo pia threads ambazo zilishalizungumzia hili jambo kwa kina.
Alimaanisha zote dhambi .
Good thinking girl....Jamani mbona mmekuwa wakali namna hiyo? Mwelewesheni taratibu sio wote wenye uelewa sawa! Mimi nadhani alijaribu kuunganisha dhambi ya kutoa mimba na dhambi ya kutumia condom (kuna dini nyingine wanaconderm kabisa kuwa hii bi dhambi) so kama zote ni dhambi tufanyeje - tuache kufanya mapenzi kabla ya ndoa na ndani ya ndoa tuzae tu tukaijaze dunia hata kama hatuna uwezo wa kuwalea hao watoto - hakuna kutumia kinga. Ni thread nzuri hii kuidiscuss but nadhani zipo pia threads ambazo zilishalizungumzia hili jambo kwa kina.
But what is the connection between a condom and kidnapping?
duuhhhh swali gumu
lakini labda alimaanisha
wakati wa sex ukivaa condom unazuia
sperm isingie kwenye yai ...
sasa hilo la kuzui labda ndo alilifanannisha na
Kidnapping ...
<br />
<br />
Peleka uchangudoa wako maaluni mkubwa weye.
Lugha gongana hapo. Sijaelewa kabisa mimi.
Lugha gongana hapo. Sijaelewa kabisa mimi.
Nyani Ngabu...
Yes Afrodenzi, what say you?
Nyani Ngabu...
You like my name?
Lugha gongana hapo. Sijaelewa kabisa mimi.
Unajua MM1 watu wengine huwa wanakurupuka tu kumshambulia mtu, dada wa watu kauliza walitakiwa kumjibu,lile ni swali na lina alama ya kuuliza na sio conclusion yake maybe badae angehitimisha lol!! GT think!!!Jamani mbona mmekuwa wakali namna hiyo? Mwelewesheni taratibu sio wote wenye uelewa sawa!
Mimi nadhani alijaribu kuunganisha dhambi ya kutoa mimba na dhambi ya kutumia condom (kuna dini nyingine wanaconderm kabisa kuwa hii bi dhambi) so kama zote ni dhambi tufanyeje - tuache kufanya mapenzi kabla ya ndoa na ndani ya ndoa tuzae tu tukaijaze dunia hata kama hatuna uwezo wa kuwalea hao watoto - hakuna kutumia kinga. Ni thread nzuri hii kuidiscuss but nadhani zipo pia threads ambazo zilishalizungumzia hili jambo kwa kina.
Its just copy n paste NN, ila inamake sense ndio maana dini zingine zinakataa utumiaji wake,nilivoelewa unaweza tumia condom siku za kushika mimba ni kama joke hii nashangaa kuona nimeshambuliwa kiasi hiki lol!!First off, your sentence is syntactically incorrect.
Secondly, what is the connection between using a condom and kidnapping?