hapo homa itakuwa haiishi, kama hawezi kuachana na arsenane bora kuweka ushabiki likizo... Maana utanunua painkiller kwa mabox.
Kwahiyo gozi lako gonjwa kila siku...............
Unapata huduma kweli? mwambie ahame timu bana!!!
Jibu nzuri sana madam..unatisha kwa majibu! Ungekuwa waziri wa nishati wala usingepata shida ya kujibu maswali ya wabunge..i like that: Ha ha!Likiwa na hasira linazimalizia kwenye huduma, hapo sasa, huwa naombea wafungwe kila siku.
Hiyo siyo picha duka kama uliangalia mechi ya Man u na Arsenal utajua kuwa ni picha ya kweli.Hiyo hata mimi nisiye mtaalam nimeigunduwa kuwa ni picha duka.