Usifungue kama hukupata atleast "c" ya hesabu form 4!!!

Kosa lipo hatua ya nne,ulitakiwa kupata jibu la kwenye mabano ambayo sawa na (20)(0)/(10)(0) kabla ya kugawanya/kurahisisha (10-10)/(10-10).

Kwa hiyo unasema kugawanya kwa sifuri kunaruhusiwa katika hesabu? Kuna jibu la kueleweka?
 
Mistake, numerator manipulation at step 3 and 4,
10[SUP]2_[/SUP]10[SUP]2 [/SUP]is not equal to (10+10)(10-10) uliyoichomekea kwenye step 4, thats the big mistake
Kabisaaaaa.... wengine tuna A za O-level na ni somo pekee lenye A
 
Tafuta kosa liko wapi katika hesabu hii..

View attachment 53691

Nasubiri majibu, ntatoa maksi accordingly!!
:israel:

Nilifaulu hesabu vizuri. Ukiacha kuangalia swali lilivyo assuming swali liko sahihi tatizo kwenye solution lipo kwenye 10^2-10^2 kuifactorize kuwa (10+10)(10-10).

Kimahesabu: a^2-b^2=(a+b)(a-b) LAKINI

a^2-a^2=0

kwa hiyo kwa kuwa base namba ziko sawa yaani 10 na exponent ziko sawa yaani 2, inamaanisha 10^2-10^2=0.

Kuna memba humu alijibu lakini hakuweka tu maelezo marefu.
 
Nilifaulu hesabu vizuri. Ukiacha kuangalia swali lilivyo assuming swali liko sahihi tatizo kwenye solution lipo kwenye 10^2-10^2 kuifactorize kuwa (10+10)(10-10).

Kimahesabu: a^2-b^2=(a+b)(a-b) LAKINI

a^2-a^2=0

kwa hiyo kwa kuwa base namba ziko sawa yaani 10 na exponent ziko sawa yaani 2, inamaanisha 10^2-10^2=0.

Kuna memba humu alijibu lakini hakuweka tu maelezo marefu.

hello mleta uzi, vipi mbona husemi neno? tuambie conclusion ya thread yako.
 
Kihesabu kosa halipo, lakini umeanza na wrong assumption. Kulikuwa hakuna haja ya kwenda mbali huko kama assumption ya 0/0 ni zero.
 
Mistake, numerator manipulation at step 3 and 4,
10[SUP]2_[/SUP]10[SUP]2 [/SUP]is not equal to (10+10)(10-10) uliyoichomekea kwenye step 4, thats the big mistake

mkuu hiyo ni perfect square
 
Nilifaulu hesabu vizuri. Ukiacha kuangalia swali lilivyo assuming swali liko sahihi tatizo kwenye solution lipo kwenye 10^2-10^2 kuifactorize kuwa (10+10)(10-10).

Kimahesabu: a^2-b^2=(a+b)(a-b) LAKINI

a^2-a^2=0

kwa hiyo kwa kuwa base namba ziko sawa yaani 10 na exponent ziko sawa yaani 2, inamaanisha 10^2-10^2=0.

Kuna memba humu alijibu lakini hakuweka tu maelezo marefu.

mkuu bado ni perfect square, cheki:

10^2 - 10^2 = (10+10)(10-10) = (10 x 10) - (10 x 10) + (10 x 10) - (10 x10)
 
namba yeyote chini ya zeroKihesabu sio sahihi.. Ingawaje walimu wa msingi walitudanganya ni zero. Kwa hiyo ukiona namba yeyote including zero chini ya zero kihesabu HAKUNA NA HAIKOKOLETI. na hiyo imewekwa wazi na kanunu za hesabu
 
I havent looked how you came to the conclusion 0/0=2, I havent looked because you can do it several ways and still come to the conclusion 0/0=2. in reality 0/0 is undefined,you cant give the result 2 because 0/0 is actually equals to all numbers in the universe WHY? This is because if we say 0/0 = y then multiply by 0 throughout we get 0=0 x y, Now from here if we are looking for y,then y is any number which when multiplied by 0 will give 0,but any number in the universe multiply by 0 the result is 0 hence y is any number more mathematically -infinity < y < infinity

sorry, o/o=o but x/0 and if x is a real number is undefined.
 
In mathematics, division by zero is division where the divisor (denominator) is zero. Such a division can be formally expressed as a / 0 where a is the dividend (numerator). Whether this expression can be assigned a well-defined value depends upon the mathematical setting. In ordinary (real number) arithmetic, the expression has no meaning, as there is no number which, multiplied by 0, gives a (a&#8800;0), and so division by zero is undefined. Historically, one of the earliest recorded references to the mathematical impossibility of assigning a value to a / 0 is contained in George Berkeley's criticism of infinitesimal calculus in The Analyst ("ghosts of departed quantities").[SUP][citation needed][/SUP]
In computer programming, an attempt to divide a floating point number by zero will lead to +-infinity by the IEEE 754 floating point standard, however, depending on the programming language and the type of number (e.g. integer) being divided by zero, it may: generate an exception, generate an error message, crash the program being executed, generate either positive or negative infinity, or could result in a special not-a-number value.

source wpedia.
 
Back
Top Bottom