Kichwa ndani ya domo halafu hapana ng'ata yeye!!!Haaaat, kwani huoni hapo?
si unaona sasa, watu wengine wanadhani ni photoshop! kumbe kijana aliumia! hehehehe! pole yake!Mchezo huu unachezwaana Thailand baada hapa huyu mchezajin alikuwa akimchezea mamba huyu kwa kuingiza mkono wake kinywani na kutoa kama mara tatu hivi. mara ya nne alipoingiza mkono tena mamba akafunga mdomo nakumviringisha kama mara nne hivi kama mamba anavyofanya akipata prey wake ndani ya maji. Bahati kijana alipona baada ya kujeruhiwa vibaya mkono wake. Ingekuwa hapa kwetu mkono ungekatwa. Hii iliyonyeshwa channel ya ANIMAL PLANET