Jamaa Mmoja likiuwa anasafiri akitumia treni na alikuwa amevaa nguo zilizoraruka na kuchakaa, alipofika kituo kimoja cha treni akaona nguo za mitumba na kwa kuwa alikuwa na pesa akanunua viatu, shati, soksi pamoja na surali. Aliporudi ndani ya treni akaingia chooni ili abadilisha nguo na akaamua kuvua za zamani na kuzitupa nje wakati treni ikiendelea na safari. Alipofungua zile nguo mpya alichokiona hakuamini kumbe alifungiwa matambala na viatu vilikuwa makubazi. Hepu fikiliria alitokaje humo chooni na nguo alizokuwa amezivaa tayari ameishazitupa.