Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,385
Wanangu!
Msione humu rodi majita wanakatiza wako smati nini wanasmaili, ukimsalimiamwana anakwambia poa tu, hizi buku, buku mbili nini sio tatizo kumkuta kwa mama nanii anapiga mbili, umeona?
Sio kwamba huyu jamaa fresh ile kiukweli, ..kajaribu tu kukopu na hii laifu lakini kiukweli kabisa mwanangu mwenyewe, laifu mizinguo!
...amini usiamini...
Watu wameamua tu, kuchukulia poa maana hata ukisema unanyongea nini unakuwa mtu wa filingi deile, sana sana utaishia kudedi bila sababu ya msingi ujue? Watu wanaamka tu wanakuta mwana wa zamaaaaani keshaaga, wanaaza kuleta zile za marehemu hakuugua kumbe mwanangu ushasafa sana maisha haya.
Halafu kitu kingine kuna wana wanajisahau kabisa maisha yaha ujue, kuna taimu inafika, mwana anahisi kabisa kwamba keshamaliza mchezo kumbe bwana dunia hii hakuna kumaliza, kama kujifunza basi deile mwanangu topikimpya zinaibuka,mtu unadedi huku unajifunza maisha haya mchizi wangu hujaishtukia hiyo?
Asa kuna mwanangu mmoja mitaa ya Tabata unaambiwa imemkuta ishu hiyo kilaakijaribu kusovu, inamzingua, haya mambo yetu ya malavidavi na mademu zetu unaambiwa, inabidi kama tupunguze spidi hivi vinginevyo mtu unaweza kujikuta umerudi skwea wani.
Sasa mchizi unaambiwa sio kwamba ni suala la demu tu, waifu kabisa unaambiwa kazingua, kamuacha mchizi nje wakati mwana alikuwa keshamaliza kila kitu, ana mjengo wake, mkoko nini, na bado biznes mbili tatu zinamsukuma katika suala zima la kukamatia deile bredi, sasa hivi mwanetu hana kitu.
Unajua ikoje?
Mchizi kaoa kabisa demu unaambiwa na wana watoto nini, ..laifu inasonga,na katika laifu ya mtu na waifu wake si unajua mizingulizi haikosekani?
Wahenga unawakumbuka? Basi jamaa wale wanakwambia huwezi kula muwa bila kukuta fundo, kwa hiyo jamaa wakakuta fundo, ...wakazinguana!
Kila walipojaribu kusovu unaambiwa maza anaonekana kama hamaindi hivi kurudisha moyo kwa mwana, akawa anaonekana kama anataka kufunga pazia lenyewe, apewe mauhuru nini asonge, lakini mwana akawa kila akimaindi madogo nini pale homu kusavaivu bila maza ingekuwa mizinguo, akawa kama anagoma hivi kutoa divosi yenyewe.
Unaona mwanangu?
Maza kuona mchizi kagomakuachia uhuru nini, akasonga fronti unaambiwa, mahakamani nini, akaipeleka ishu nzima nzima kwa bwana Pilato, pilato akaichekiiiiiii akaona hata hapa huyu maza kama kashakuwa na msimamo wake hivi, hata mwana akifosi amani itakuwa haipo homu, akawa kama anataka kuitenganisha hivi ndoa, basi akaamuru talaka itoke.
..dizaini kama talaka ilitoka, maza akasepa!
Kumbe bwana maza kashakula mchongo longtaimu kuhusiana na mjengo na kila kitu, hati si mtu mzima alimkabidhi waifu ndio atunze? Kaenda tu kujiandikisha kama kauziwa nini, akajihamishia mazaga yoye yakawa kwa jina lake, halafu akayapigilia bei kwa mbali kudadadeki.
Mchizi siku hiyo karilaksi siting rumu anakulakitu cha TV, wanaingia majita wanampa zipi ujue?
"Mwana eeh, inabidi kama mwezi ujao hivi usepe, sababu, mwenye nyumba anataka kuhamia".
Pata picha ingekuwa wewe mwanangu ungedataje?
Mwana alidata ujue akaanza kuhamaki, sikaja dokyumentsi unaambiwa mwanzomwisho zinamsapoti mnunuzi, mwenyewe akaanza kuhaha alipoenda kwenye kabati akakuta kweupe, maza kumbe alishasonga nazo fronti longtaimu ujue?Dah...
Sasa hivi mwana karudi mwanzoni tu kama anaanza upya laifu, watoto hawana pa kuishi, yaani laifu imekuwa kama inaanza tena hivi wakati mwana alishajitosheleza kwa kila kitu ujue? Mademu zetu hawa unaambiwa, wa kuwaangalia sana ujue hawa la sivyo wanaweza kutupeleka ambako siko ujue?
Mi naishia hapa wanangu, tutachekiana au sio?
Wanlav!
Msione humu rodi majita wanakatiza wako smati nini wanasmaili, ukimsalimiamwana anakwambia poa tu, hizi buku, buku mbili nini sio tatizo kumkuta kwa mama nanii anapiga mbili, umeona?
Sio kwamba huyu jamaa fresh ile kiukweli, ..kajaribu tu kukopu na hii laifu lakini kiukweli kabisa mwanangu mwenyewe, laifu mizinguo!
...amini usiamini...
Watu wameamua tu, kuchukulia poa maana hata ukisema unanyongea nini unakuwa mtu wa filingi deile, sana sana utaishia kudedi bila sababu ya msingi ujue? Watu wanaamka tu wanakuta mwana wa zamaaaaani keshaaga, wanaaza kuleta zile za marehemu hakuugua kumbe mwanangu ushasafa sana maisha haya.
Halafu kitu kingine kuna wana wanajisahau kabisa maisha yaha ujue, kuna taimu inafika, mwana anahisi kabisa kwamba keshamaliza mchezo kumbe bwana dunia hii hakuna kumaliza, kama kujifunza basi deile mwanangu topikimpya zinaibuka,mtu unadedi huku unajifunza maisha haya mchizi wangu hujaishtukia hiyo?
Asa kuna mwanangu mmoja mitaa ya Tabata unaambiwa imemkuta ishu hiyo kilaakijaribu kusovu, inamzingua, haya mambo yetu ya malavidavi na mademu zetu unaambiwa, inabidi kama tupunguze spidi hivi vinginevyo mtu unaweza kujikuta umerudi skwea wani.
Sasa mchizi unaambiwa sio kwamba ni suala la demu tu, waifu kabisa unaambiwa kazingua, kamuacha mchizi nje wakati mwana alikuwa keshamaliza kila kitu, ana mjengo wake, mkoko nini, na bado biznes mbili tatu zinamsukuma katika suala zima la kukamatia deile bredi, sasa hivi mwanetu hana kitu.
Unajua ikoje?
Mchizi kaoa kabisa demu unaambiwa na wana watoto nini, ..laifu inasonga,na katika laifu ya mtu na waifu wake si unajua mizingulizi haikosekani?
Wahenga unawakumbuka? Basi jamaa wale wanakwambia huwezi kula muwa bila kukuta fundo, kwa hiyo jamaa wakakuta fundo, ...wakazinguana!
Kila walipojaribu kusovu unaambiwa maza anaonekana kama hamaindi hivi kurudisha moyo kwa mwana, akawa anaonekana kama anataka kufunga pazia lenyewe, apewe mauhuru nini asonge, lakini mwana akawa kila akimaindi madogo nini pale homu kusavaivu bila maza ingekuwa mizinguo, akawa kama anagoma hivi kutoa divosi yenyewe.
Unaona mwanangu?
Maza kuona mchizi kagomakuachia uhuru nini, akasonga fronti unaambiwa, mahakamani nini, akaipeleka ishu nzima nzima kwa bwana Pilato, pilato akaichekiiiiiii akaona hata hapa huyu maza kama kashakuwa na msimamo wake hivi, hata mwana akifosi amani itakuwa haipo homu, akawa kama anataka kuitenganisha hivi ndoa, basi akaamuru talaka itoke.
..dizaini kama talaka ilitoka, maza akasepa!
Kumbe bwana maza kashakula mchongo longtaimu kuhusiana na mjengo na kila kitu, hati si mtu mzima alimkabidhi waifu ndio atunze? Kaenda tu kujiandikisha kama kauziwa nini, akajihamishia mazaga yoye yakawa kwa jina lake, halafu akayapigilia bei kwa mbali kudadadeki.
Mchizi siku hiyo karilaksi siting rumu anakulakitu cha TV, wanaingia majita wanampa zipi ujue?
"Mwana eeh, inabidi kama mwezi ujao hivi usepe, sababu, mwenye nyumba anataka kuhamia".
Pata picha ingekuwa wewe mwanangu ungedataje?
Mwana alidata ujue akaanza kuhamaki, sikaja dokyumentsi unaambiwa mwanzomwisho zinamsapoti mnunuzi, mwenyewe akaanza kuhaha alipoenda kwenye kabati akakuta kweupe, maza kumbe alishasonga nazo fronti longtaimu ujue?Dah...
Sasa hivi mwana karudi mwanzoni tu kama anaanza upya laifu, watoto hawana pa kuishi, yaani laifu imekuwa kama inaanza tena hivi wakati mwana alishajitosheleza kwa kila kitu ujue? Mademu zetu hawa unaambiwa, wa kuwaangalia sana ujue hawa la sivyo wanaweza kutupeleka ambako siko ujue?
Mi naishia hapa wanangu, tutachekiana au sio?
Wanlav!