KAKA A TAIFA
JF-Expert Member
- Apr 27, 2011
- 566
- 80
Kwa maneno yako ya Uongo umenifurahisha leo umenifanya siku yangu niwe na furaha sana ehhhhhhhhhhhhh jamani anajaribu Jeneza kabla hajakufa???? Kasheshe kweli walimwengu!!!!!!!!!!!!! duh hiii kali kweliiiiiiiiiiiiiiJamaa mmoja alianza utani wa kujipima kwenye jeneza la rafiki yake.chakushangaza aliopoingia ndani na kujilza kuamka ikawa hawezi.ilibidi jeneza livunjwe kwa nguvu aweze kutolewa,siku hizi hata msibani anaogopa kwenda mtizame hapa
Mzee punguza kamba