Usibabaike na fremu za wanawake

Kweli mkuu, siku hizi yanabaki kupiga mayowe tu, Mara siiiiiiiiiiiiiiiii, haaaaaaaaaa, eeeeeeeeeeeeeeee, oooooooo, hiyoooooo, ya moto, usimpe mtuuuu. Lakini gogo hakuna kujishughulisha.
 
Chai tamu ni wewe unasema, nataka chai yangu iwe na maziwa matupu bila maji, au ya rangi bila maziwa.
Iwekwe sukari vijiko viwili.
Nataka chai yangu "ipikwe", au nichemshie maji, nitaunga mwenyewe...

Siyo mtu unakuja unalalama OHH hajui kupika chai tamu!
 
duu?ya leo kali ilo gogo litakuwa limekudondokea v day,,,,,ila kweli nyumba ndogo ndo maana zinajipatia umaarufu kila kukicha
Kwani hizo nyumba ndogo wanakutana na wanaume? Si hao hao wanawake? Mbaya sana kugeneralize.
 
Hivi mapenzi ni kukata viuno tu na kuonyesha ujuzi kitandani????
Usijali kama wanawake ni magogo, nenda kwa makaka poa wanaojua kukata viuno vizuri.
:eyebrows:
Najua ya kuwa unawapondea wanawake lakini mwisho wa siku utaenda kumtongoza/kumuoa huyohuyo ambaye hajui kukata viuno.

 
Unaweza kumuona mwanamke mzuri wa umbele kumbe hana lolote, hajafundwa na mila za kwao, wengi wamefundwa katika Kitchen Party hizi za wajanja wa mjini ambazo hata hao wanaoziongoza wameshindwa kabisa kutunza ndoa zao. Wanasema Kitchen Party ziko kwa ajili ya kukusanya vyombo tu.

Jamani wanawake hebu rudini kule vijijini mkafunzwe na Makungwi kama bado wapo..... maaana hii ni sababu kubwa ya kuvunjika kwa ndoa nyingi kwa sababu wanawake wengi wanalala kama magogo.

Nashukuru Mungu katika hao wanawake ndani yake kuna dada zako, shangazi zako, mama zako na hata rafikizo.
Hivi huu ushauri umeshawahi kuwaambia live yaani ana kwa ana hao wanawake nduguzo au umekuja tu JF kuwachimba mkwara dada za wenzio???
 
Jamani dunia inakwenda siko siku hizi na wanawake wamekuwa ni bure kabisa, hawawezi kuwafurahisha wanaume ndani ya ndoa, wengi wao wamekuwa magoigoi kwa kuwa hawezi kukatika wala kucheza ngoma zao za asili. Siku hizi wanawake wengi wanajiingiza katika masuala ya kuutaka uzungu na kuzikimbia asili za kwao.

Unaweza kumuona mwanamke mzuri wa umbele kumbe hana lolote, hajafundwa na mila za kwao, wengi wamefundwa katika Kitchen Party hizi za wajanja wa mjini ambazo hata hao wanaoziongoza wameshindwa kabisa kutunza ndoa zao. Wanasema Kitchen Party ziko kwa ajili ya kukusanya vyombo tu.

Zamani ukikutana na mwanamke kutoka Tanga, Tabora, Mwanza, Uzaramoni, Mtwara, Kigoma na kwingineko kasoro Moshi tu alikuwa akijua kukitumia kitanda bwana, mwanaume ulikuwa ukiridhika.... siku hizi hata chachandu hawavai eti wanavaa cheni za dhahabu. Wamebaki fremu tupu za uzuri lakini hawana kitu, umeshaziona zile fenicha zinazotoka nje ya nchi, basi uzuri wake ni bure kabisaaa, ni sawa na wanawake wa leo, ukimpa bia zako ukiiingia naye chumbani hupati starehe unayoitarajia ndiyo maana wanakimbilia kutoa tigo. unajuta hata kwanini ulimtongoza.

Jamani wanawake hebu rudini kule vijijini mkafunzwe na Makungwi kama bado wapo..... maaana hii ni sababu kubwa ya kuvunjika kwa ndoa nyingi kwa sababu wanawake wengi wanalala kama magogo.

Kama wanawake hawafai nenda karukiane na wanaume wenzio.
 
je wewe mwanaume unajishughulisha? Au ukishasimamisha kazi imeisha?

Je wewe mwanaume unajituma, unataka mwenzio akatike je wewe unakatika? Kama haukatiki pole yako wazaire ( mfano wale wa saluni wataendelea kumega wake zenu)

je unajua mapenzi wanafanya watu 2? unajituma? Unajua hata panapomnye**sha mwenzio? Panapomhamasisha na kumtia ashiki? Au unaishia kumnyonya ulimi na kumwachia mimate yako yooote?

Je mnazungumza? Na kuambiana nini chakufanya? Mnapeana feedback baada ya mchezo?

Hawa ni wale wanaume wasiojua kwa nini walizaliwa wanaume.Na ndio wanao ongoza kwa
kulaamika.
 
  • Thanks
Reactions: Sal
mkuu umenikumbusha mbali..late sixties kinondoni b nyuma ya muslim nilikuwa na binti wa kimakonde original...alikuwa ananiuliza
'' unataka chipidi ya bachikeli au chukuchuku '' akimanisha spidi ya baskeli au tuku tuku..ukisema chukuchuku weee....
siku hizi nadra sana

Kwenda zako huko, acha kudhalilisha dada zangu. aisee kumbe kutaniwa sometime inauma aisee. we ndugu koma kabisa, kenge mkubwa weeeeeeeee!
 
Hivi mapenzi ni kukata viuno tu na kuonyesha ujuzi kitandani????
Usijali kama wanawake ni magogo, nenda kwa makaka poa wanaojua kukata viuno vizuri.
:eyebrows:
Najua ya kuwa unawapondea wanawake lakini mwisho wa siku utaenda kumtongoza/kumuoa huyohuyo ambaye hajui kukata viuno.


Nashukuru Mungu katika hao wanawake ndani yake kuna dada zako, shangazi zako, mama zako na hata rafikizo.
Hivi huu ushauri umeshawahi kuwaambia live yaani ana kwa ana hao wanawake nduguzo au umekuja tu JF kuwachimba mkwara dada za wenzio???

Kaka mbona hayo maneno lugha ulotumia ni ile ya ile jenda nyingine ile mkuu. Imekaa kimipasho zaidi, duuuuuuuuu! Mtu anaweza akadhani mzee una una ma****u mawili mkuu!
 
yaap, ni kweli brother wanawake wanachojua ni kwamba eti sisi tunatakiwa tushughulike kwa sababu ndio tunaotaka kuridhika tu, wakati sio kweli kabisa.mabinti wote frem tu ukimvua unajuta ni ya nini ulijisumbua.
 
Yaani utoe bia ndio ulalamike hujakatikiwa??sema hao unaochukua unaokota barabaran c wapenzi ila ni machangu,hawapo kwa ajili ya burudani ila kikazi zaidi ukitaka wakatike basi watakutoza ya KUKATIKA kaka weye!!teeh teh teh!teh!unalo wapo mafund tatzo unaokoteza vijike sio wanawake.
 
  • Thanks
Reactions: Sal
ukiona mwanamke hakatiki ujue huyo mwanaume kiwango chake ni cha chekechea, ukimpatia mwanamke mwenyewe utashangaa.
 
  • Thanks
Reactions: Sal
Wanaume nao hamna kitu tena wa kichaga mhhhhhh sitaki kutia neno! utafikiri ana haraka anawahi migombani bwana.....
 
Kweli kabisa, mwenzio niliwahi kuinuliwa kitandani na kuambiwa niangalie dirishani huku nimefungwa khanga kiunoni nikipewa mambo na kutakiwa kuangali kama basikeli yangu ipo au imeibiwa. siku hizi hakuna kitu kaka.

haaaah haaaah haaah Jf never boring~THE BOSS
 
Back
Top Bottom