USIA wa Nyerere unaoishi leo

Sijaelewa hapo. Nyerere alimtusi mtu/watu au yeye ndiye alietusiwa? It should be remembered that the late Nyerere was not God. Ingawa kuna mikakati ya kumfanya Saint ili iwe kila alichofanya na alichosema ni kitakatifu. Siasa zina mizengwe sana.

Nyerere

(1) Fought for African Liberalization
(2) Ameleta Muungano
(3) Ameondosha ukabila

Pia

(1) amepigana vita Uganda kwa kutaka amrudishe swahiba wake Obote madarakani
(2) Ameleta azimio la Arusha na operation vijiji - vyote vilifeli
(3) Alisababisha mgao wa sukari na unga, sabuni ilikuwa hakuna, maduka hayana bidhaa.
(4) Ilikuwa hakuna uhuru wa kuongea, vyombo vya habari na uwekezaji.

TUMETOKA MBALI. Uzuri wa binadamu, hawakawii kusahau[/QUOTE





Donda Ndugu haliwezi PONA.......Nyerere zaidi Ya kiongozi UNAHITAJI AKILI YA ZIADA kutambua HILI
 
Erick Mkinga

Watu tunaweka facts sio kukurupuka.

Una vitu weka.

Tutakuwekea mbadala.

This is a discussion, sio unakurupuka kutoka kwenye haja kubwa na kuja na kauli za donda ndugu. Unalijua donda ndugu wewe? ndio hilo lililomo kwenye fikra zako; you do not want to defend your position with facts and persuasive arguments.

I pity you.

Hata katika shughuli zako za kila siku nadhani unakurupuka kurupuka tu. Huna la kusema nyamaza.

Sijaelewa hapo. Nyerere alimtusi mtu/watu au yeye ndiye alietusiwa? It should be remembered that the late Nyerere was not God. Ingawa kuna mikakati ya kumfanya Saint ili iwe kila alichofanya na alichosema ni kitakatifu. Siasa zina mizengwe sana.

Nyerere

(1) Fought for African Liberalization
(2) Ameleta Muungano
(3) Ameondosha ukabila

Pia

(1) amepigana vita Uganda kwa kutaka amrudishe swahiba wake Obote madarakani
(2) Ameleta azimio la Arusha na operation vijiji - vyote vilifeli
(3) Alisababisha mgao wa sukari na unga, sabuni ilikuwa hakuna, maduka hayana bidhaa.
(4) Ilikuwa hakuna uhuru wa kuongea, vyombo vya habari na uwekezaji.

TUMETOKA MBALI. Uzuri wa binadamu, hawakawii kusahau[/QUOTE





Donda Ndugu haliwezi PONA.......Nyerere zaidi Ya kiongozi UNAHITAJI AKILI YA ZIADA kutambua HILI
 
hakuna aliye kamili katika ulimwengu huu, kuna mabaya yake aliyoyafanya na kuna mazuri yake. cha kufanya 2balance kwa mambo yake aliyoyafanya nyerere.
 
(1) ni bora vita ya uganda alishinda kuliko vita ya ufisadi, mgao wa umeme iliyotushinda sasa na maandamano yasiyo na tija kila kukicha,(2) azimio la arusha lilishindwa kwa sababu nyerere hakutaka kudictate, alitaka watanzania waione nia thabiti katika maneno na matendo ya azimio hilo,ila tamaa za watanzania wachache na hasa wana ccm kipindi hicho hawakutaka usawa aliouwaza nyerere!(3) hakuna mzalendo kama nyerere, aliyeweza kufanya maamuzi magumu na kuyasimamia hata kama mabeberu wakiweka vikwazo.ndio maana aliona ni bora kuzalisha malighafi za kitanzania na zitumike tanzania kuliko kuruhusu soko holela!(4) ni km ilivyo tbc leo,haiwezi kuzungumzia mabaya ya rais,hata voice of amerika haiwezi kufanya hivyo!ni mtanzania gani wakati huo aliomba kuanzisha chombo cha habari akakataliwa hatuna ushahidi,hata hivyo nia ya ndani ya mwl na utashina utu wake vinamfanya watanzania tulio wengi tuendelee kumuona alikuwa kiongozi asiemithilika katika ulimwengu wa sasa!hauwezi ukaongea upuuzi kuhusu mwl mbele ya kadamnasi usipigwe mawe je bado leo hakuna uhuru wa kuongea,mbona bado watu tunamheshimu na kumuona kielelezo!hili sio kwa watu wa hali ya chini tu hata wasomi wa vyuo vikuu pindi wanapodai haki zao huimba ule wimbo maarufu wa " kama sio juhudi zako nyerere.....kama sio juhudi zako nyerere ....."hauwezi kupata urais wa nhi hii kutokana na kura za watanzania km utamponda mwl jukwaani!je bado hakuna uhuru mpaka leo?kubali ukweli mwl nyerere hafananishiki katika kizazi cha sasa!jaribu kufikiri km wewe ungekuwa rais leo ungekubali kufa maskini?kuishi kijumba km cha mwl?kusomesha wanao hapahapa bongo?kutenganisha famailia na uongozi?kujali nchi na wananchi kwa dhati km mwl?unaweza......??.....
BARABARA MTENDA HAKI,wewe unamjua Mlw...,makame ni mla urojo tuuu! anaongea muungano leo?kama HAJUI FAIDA YA MUUNGANO AKAMUULIZE MAALIM SEIF (serikiali ya mseto zbr) au kwa sababu ule ulifungwa under Mlw.?
 
MORIA

Ulichokiandika hapo hakijawa CLEAR. Please try to be clear! Mimi kule ninapotoka; urojo una majina matatu kama ilivyo ugali. Majina mengine ya ugali ni sima au sembe (kikwetu); na majina mengine ya urojo ni moria au toto. Sasa kama Makame ni mla Urojo; kwa maana halisi ni mla Moria. Na huenda ikawa ndio hivo.

Nimeweka ufunguzi huo kwa kuzingatia ulichoandika; u ought to know kwamba hii ni forum ya kuweka majadiliano yenye TIJA na kuongeze VALUE the current discussions. Au ndio unakurupuka ili uongeze postings zako? Hatuendi hivyp DOGO. Ukumbi huu una taratibu zake; nadhani umesoma sheria za humu ulipojiunga juzi. Kama hujazisoma, hebu zipitie. This is a free forum and floor. Una hoja mbadala weka. Una hoja mpya, anzisha thread. sio kukurupuka kama jamaa aliekuwa anajisaidia porini akatokea nyoka ghafla akiwa anaendelea na haja zake.

BARABARA MTENDA HAKI,wewe unamjua Mlw...,makame ni mla urojo tuuu! anaongea muungano leo?kama HAJUI FAIDA YA MUUNGANO AKAMUULIZE MAALIM SEIF (serikiali ya mseto zbr) au kwa sababu ule ulifungwa under Mlw.?
 
Mlw alikuwa kama baba yangu' kauli ya dr. Salim A Salim wakati wa maombolezo ya JK Nyerere. Kuna upotoshaji mwingi kuhiusu nguli huyu wa siasa za tz, africa na dunia, any way labda wengi hawakumkuta(madarakani)..Kambarage hakumuogopa yoyote na alikuwa mpambanaji as from palestine to mosambique..kifupi babu huyu aliuchukia UFISADI,ukoloni,rushwa,udini uzembe nk.. nasi tuliimba miaka hiyo 'alisemaaax2 alisema Nyerere alisemaa vijana wangu wote mmelegea sharti muanze mchaka mchaka'.. Kwa habari ya ufisadi kuna wanasiasa MLW. aliwakataa na ndio wanatugharimu leo na hata alidiriki kusema hadharani kama tunapenda sura zao TUKAWAPIKIE CHAI.. Leo hii watu waliosababisha hasara ktk nchi baadhi yetu tunahangaika kuwasafisha kila uchao..tunaona sasa WAHISHIMIWA wetu wakipiga madawati na kuruka ruka kama nchi imepata uhuru au mtambo mpya wa umeme unazinduliwa hee! eti ni harakati za kumsafisha NTU...Bado naisikia sauti ya ukali ya BABA wa taifa ikitutaka TUKAWAPIKIE hao mafisadi chai(maadam tuko upande wao)...cjui tutavaa nguo ganii wakati wa mapikaji..., duu! NYERERE naye

rest in peaca Mwalim
 
Back
Top Bottom