zumbemkuu
JF-Expert Member
- Sep 11, 2010
- 10,829
- 8,619
Mimi nangoja tuu kusikia kama hawa baraza la maskofu watamuenzi nyerere mpaka kuwa mntakatifu. Raisi yeyote duniani mwenye au aliyekuwa na secretary wawili regural secretary na private secretary hawezi kabisaa kuwa mtakatifu. Baraza la maaskofu ni lazima wachunguze kazi za private secretary kwanza ndipo wafikirie kutoa sacrament ya utakatifu kwa nyerere. Leo nimejifunza makubwa sana kuhusu nyerere. Kumbe UN na OAU walinyonda kutuunga mkono vita vyetu ingawa tulivamiwa! Hata Misri! Sasa kimbere mbele cha nyerere kuvunja uhusiano wa kibalozi na Israeli mwaka 1973kwa sababu ya Misri kupigwa na Israel kilikuwa cha nini?Kuweka palestinian Day nchini Tanzania na kuwatukana wayahudi kila mwaka wakati hakuna hata nchi moja ya waarabu wala OAU blacks iliyoungana na sisi kulaan amin na matendo yake, hii ilkuwa ni kumpandeza nani? Kweli kabisaa kuondoka nyerere madarakani ni kuchanua kwa Tanzania, naamini kabisa hili. Sasa kama yeye nyerere alikataa kufanya mazungumzo ya diplomasia na Uganda ili kuyamaliza mzozo kwa nini basi alilaani Israel kuchukua mateka yake Uganda? Tena alidai eti Israel ilipaswa kufanya mazungumzo ya kidiplomasia na Iddi amin ili mzozo umalizike kwa Usalama!!! Hii inawezekana kuwa sabau ya OAU na UN kutudhalau wakati wa mgogolo na Uganda!
umeandika pumba pumba pumba pumba pumba pumba pumba....