Wandugu wa JF, naombeni mnisaidie kwa wale wenye uzoefu au utaalam wa biashara! Mimi nina mtaji kidogo tu kiasi cha (millioni kumi tu), ila nimeshindwa kuanza biashara kwani kila ninapopiga mahesabu naona kama mtaji wangu ni mdogo, hivyo naomba msaada wa mawazo nifanye biashara gani ambayo itaweza kuwa endelevu kwa kiwango hicho?