Kweli kazi si kupenda bali kazi ni kumpenda akupendaye....... kaza msuli kijana labda utafanikiwa cha muhimu uupate ukweli ili hata unapoamua kumwacha uwe na sababu ambazo zinaeleweka vinginevyo utaonekana haukua serious.
Kila la kheri
Akiamua kupiga chini yeye apige chine tu coz mimi naona hapo jamaa anajitwisha gunia la misumari wakati amenyoa kipara