ushuhuda wa kweli-niliishi miaka 7 bila...

daktari alienihudumia ni wa kiume wewe acha tu

Hapo kweli ulikutana na changamoto. Huenda dkt kwa kupenda aonekane amekutibu alikurefer kwa wauguzi zikaondolewe hapohapo hosptalini bdala ya kukupa maelekezo ukajihudumia mwenyewe

Mimi nimefurahi at least ulifika A-level na hata kuimaliza ukiwa salama. Kwa kuwa aibu ya nywere ilichangia katika usalama huo hali ilikuwaje baada ya wewe kupata uelewa?
 
hapo kweli ulikutana na changamoto. Huenda dkt kwa kupenda aonekane amekutibu alikurefer kwa wauguzi zikaondolewe hapohapo hosptalini bdala ya kukupa maelekezo ukajihudumia mwenyewe

mimi nimefurahi at least ulifika a-level na hata kuimaliza ukiwa salama. Kwa kuwa aibu ya nywere ilichangia katika usalama huo hali ilikuwaje baada ya wewe kupata uelewa?
wewe bwana unataka nijianike huku ato z bwana?
 
wasichana wengi wanakuwa hivyo,
huwa hawana mtu wa kuongea nao,
ndiyo maana hata mimba za utotoni zinakuwa nyingi.

Pole Smile mwaya, kumbe ulilelewa na bibi eti eeh.
 
wasichana wengi wanakuwa hivyo,
huwa hawana mtu wa kuongea nao,
ndiyo maana hata mimba za utotoni zinakuwa nyingi.

Pole Smile mwaya, kumbe ulilelewa na bibi eti eeh.
yule binti yetu umempa lecture
 
nilipovunja ungo sikupata mtu wa kunielekeza chochote kuhusu mabadiliko ktk mwili wangu
nilikuwa la sita.

mojawapo ya jambo lililokuwa ninanishangaza ni pubic hair.sasa zikakua na kukua sikujua kama zinanyolewa nikawa nipo nazo miaka inakata. nilipoenda a level boarding nikiwa naoga na wenzangu mimi nilikuwa sivui underwear maana nilikuwa naona siko normal nilikuwa nashangaa mbona wao hawana hzo nywele huko?


hata wanaume walikuwa wakinitongoza nilikuwa nakataa cause nilijua wataniona huku nio aibu nikapanga kwenda kwa daktari bwana ..................................wewe

nashindwa kumalizia mtanicheka sana huku
my point ni vema mabinti waelezwe kuhusu mabadiliko katika miili yao live bwana

Wewe ni muongo coz hii elimu inatolewa std 6 & 7. So sad unavyoleta mada za uongo hapa
 
Wewe ni muongo coz hii elimu inatolewa std 6 & 7. So sad unavyoleta mada za uongo hapa
una hakika? by the way huwa sisemi uongo mkuu .kama nimekukwanza sio lazima uchangie
kwanza nidanganye ili nini
sory :shut-mouth:
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom