Ushuhuda: Kila mtu aeleze Bangi Ilivyomsaidia

Tatizo la bangi ni kama kupiga nyeto ukianza basi huachi... Na bangi haina faida zaidi ya hasara... Chidbenzi alianza na bangi ikampandisha rank mpaka madawa ya kulevya bangi ni mmea sio wa kukenulia meno kama umeona sukumawiki... Weka mbali na uhai wako

Nimekuwa nikivuta bangi miaka na miaka, hamna anayefahamu inanifanya nifanye kazi zangu kwa ufanisi hasa ninapochoka au usiku, huu mmea ni wa ajabu sana
 
Mashariti ya bangi.
1. Uwe na kazi ya maana na pesa sio ya kuwazawaza.
2. Usitumie kilevi Cha aina yoyote ( bangi sio kilevi ni kuburudisho tu).
3. Uwe ni mtu anae kula chakula cha kueleweka ( simaanishi kingi). Chenye balance yote.
3. Uwe mtu wa mazoezi angalau hata mara mbili kwa wiki.
4. Vuta peke yako, ile ya magroup sio nzuri. Hii itakusaidia kuwa na kipimo kimoja siku zote, usiongeze dozi.
5. Uwe na siku maalum na muda maalum wa kuivuta, sio kila siku na wakati wowote.
 
Nilikuwa na vidonda vya tumbo ambavyo hali take ilikuwa mbaya sana hasa nilipofika kidato cha tatu. Nilipewa Dawa za hospital I sikupata nafuu. Akaja Mzee mmoja akawashauri wazee kuwa Dawa yake in hiyo kitu ikisagwa na kuwekwa kwenye maziwa ya moto. Nilikataa kabisa kutumia Dawa hiyo, lakini kwa sababu nilikuwa mgonjwa ilinibidi nikubali tu! Yule Mzee aliileta na kuitengeneza. Nilikuywa mchanganyiko huo kwa siku kama saba hivi, baada ya halo nilipona kabisa mpaka Leo. Nilikunywa kwenye maziwa na sikuvuta, na siwashauri watu kuitumia.
Kumbe ni dawa kiasi hiki?
 
Bado sijatumia ila naunga mkono wanaotumia kwa faida... Tatzo la bangi haihitaji uwe na tatzo maana itakuchanganya kwa kuover thinking... Nasikia inafungua kale kajicho ka tatu ukiitumia kwa manufaa..
Ipo siku nitauonja mmea
Mkuu huu mmea haufai sana kuujaribu ukubwani unless uko tayari kufanya mambo ya ajabu... Kuna ule umri ambao mtu ulikua unajaribu vitu vingi ndo mda mzuri wa kuanzia
 
Kila mtu anaongea lake ila mimi nimeanza kuvuta bangi rasmi tangu mwaka 1998 mpaka leo sijaacha na ni mvutaji wa kila siku labda niwe bize sana na kazi ntapitisha labda siku moja lakini kiukweli bangi ni nzuri sana tena sana kwa upande wangu sijui kwa wengine tangu nasoma shule nilikuwa nafaulu vizuri sana hata form six nilipata DIV 1.6 nilikuwa nachukua PCM nikaendelea mpaka chuo kikuu tena nje ya nchi kwa full scholarship pia huko nikamaliza nikachukua degree yangu nzuri GPA 4.9 nilisoma telecom engineering mpaka sasa nafanya kazi kwenye telecom company. Faida nazozipata kwa kuvuta bangi 1. Sichoki kufanya kazi 2. nakula sana na nakuwa so energetic 3. Wakati wa tendo la ndoa nachelewa sana kumaliza nikiwa nimevuta sio kawaida 4. Nikivuta akili inatulia sana sipendi matatizo na mtu 5. Nakuwa na msimamo kwenye jambo langu lolote 6. Bangi ina faida kwenye ngozi ya mwili 7. Nikivuta sina uwoga na nakuwa najiamini 8. Inapunguza maumivu Hasara 1. Nikivuta sana kwa wakati mmoja nasizi nakuwa nimezidisha dozi 2. Ina madhara kwenye mapafu ndio maana inatakiwa uwe unakunywa maziwa fresh mara kwa mara.Siwezi kuacha kuvuta bangi kwa sababu ya maneno ya watu kwani naipenda tena sana ingekuwa vizuri kama ingehalalishwa kwa watumiaji waliothibitishwa na daktari.kuna baadhi ya watu inawadhuru kiakili nasikia. HERB IS THE HEAL OF THE NATION, ALCOHOL IS THE DESTRUCTION hio ndio kauli mbiu. Smoke weed everyday,Pombe inaua watu wengi pia haina faida yoyote zaidi ya hasara tu
 
Tulikuwa na tatizo la mauzauza bwenini, tukaambiana kuwa bangi ni dawa ya majini. Tumepuliza almanusura tuwe machizi but songombingo la majini liko pale pale.
Si kila jini linaogopa bhangi mengine ni watemi na wababe balaa tena ni watumiaji wazuri tuu...nyie mnagongeana msokoto mmoja tena kwa kujificha yeye msokoto wake mmoja ni kama zile sigara za sigar
1462148714341.jpg
na yeye anagonga kama mitano hivi ndio stimu zipande
b7519f2faf634633e49f932f994df67b.jpg
 
Mashariti ya bangi.
1. Uwe na kazi ya maana na pesa sio ya kuwazawaza.
2. Usitumie kilevi Cha aina yoyote ( bangi sio kilevi ni kuburudisho tu).
3. Uwe ni mtu anae kula chakula cha kueleweka ( simaanishi kingi). Chenye balance yote.
3. Uwe mtu wa mazoezi angalau hata mara mbili kwa wiki.
4. Vuta peke yako, ile ya magroup sio nzuri. Hii itakusaidia kuwa na kipimo kimoja siku zote, usiongeze dozi.
5. Uwe na siku maalum na muda maalum wa kuivuta, sio kila siku na wakati wowote.
Kumbe ni kama kilevi kingine chochote tu kama vile ngono na munde
 
Bangi in mmea mzuri sana... Hunisaidia kulala fofofo.. Nkiamka kichwa kiko very bright..my ego is too big...I reason too wide and Im very straight to the point...I write very funny poems/lyrics in my post-smoke and get my best attention when I'm stoned..More weed less stupid Arguments.
I just don't let myself get too much carried away by this Stuff.
 
Sijawahi kua addict or smoke anything ile seriously.

Ila nikiwa chuo 1 st year kuna mwanangu mmoja aliniambia weed inaongeza hamasa kupiga msuli unaweza toboa mpaka chwee unapiga kitabu tu.....kuna wakati nikasema isiwe shida msela akanyonga ghettoni akaninyongea na yangu namuona hivi (incase asinichanganyie anything crazy)....

Tukawasha nikapiga for the first time, puff ya kwanza ile nika cough sanaa....jamaa kaniambia take it easy....nikapiga puff kadhaa....dah mazee ghafla nikaona kichwa na mwili nimekua mwepesi flan hivi...at times nikitembea naona kama miguu ina changanya yenyewe hivi like sio ki nguvu zangu mwenyewe.

Hyo siku nilipiga msuli mpaka asubuhi sikuchoka au kuwa stressed kabisa...the next day jamaa kaniambia nipige tena nikachomoa sikutaka mwili na akili uzoee kilevi au booster aina yeyote. Huo mmea ki ukweli una faida flan if used appropriately.
 
Mimi bangi nimekuwa nikitumia mara kwa mara.....Inasaidia sana kwa kweli.....Sema me huwa inanifanya naongea vitu visivyoeleweka....Nimeanza kutumia kabla sijarudi toka nchi za nje
 
Back
Top Bottom