Selaa ze dodiii
Member
- Dec 19, 2011
- 11
- 3
Mchungaji m1 aliamua kuivunja siku ya juma2 na kutoa nafas kwa waumin wake kushuhudia #1: mchungaj asante kwa maomb yak coz zman nlikua nkenda haja kubwa ctoi ki2 nlivyoenda kwa dokta akanambia hyo inaitwa replacement of human west product lkn baada ya maomb yako ss hvi najaza kisado #2: mchungaj nashkuru kwa maomb yak coz kbl ya kuniombea nlikuaga nakula ule mkate mkubwa mwenyewe lakin baada ya maomb yako ss hv nakula karatasi natupa mkate dah!