Billie
JF-Expert Member
- Aug 13, 2011
- 12,720
- 19,860
Habari zenu wana jf.
Dada yangu amesumbuliwa sana na vidonda vya tumbo ki ukweli vina umri wa miaka miwili sasa imèfika hatua vinachachamaa hadi anagalagala chini katumia dawa nyingi sana bila mafanikio.SASA TUMEAMUA TUNAENDA KWA HUYU DR.RAHABU je kuna mtu mwenye ushuhuda either yeye au alishuhudia matokeo mazuri baada ya kutumia dawa ya Dada huyu?NISAIDIENI ILI TUWEZE KUAMUA UAMUZI WA BUSARA PAMOJA NANYI dada amekosa raha.
Dada yangu amesumbuliwa sana na vidonda vya tumbo ki ukweli vina umri wa miaka miwili sasa imèfika hatua vinachachamaa hadi anagalagala chini katumia dawa nyingi sana bila mafanikio.SASA TUMEAMUA TUNAENDA KWA HUYU DR.RAHABU je kuna mtu mwenye ushuhuda either yeye au alishuhudia matokeo mazuri baada ya kutumia dawa ya Dada huyu?NISAIDIENI ILI TUWEZE KUAMUA UAMUZI WA BUSARA PAMOJA NANYI dada amekosa raha.