Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,386
katika kuchangia maoni kuhusu nn kiwepo kwenye katiba mpya wanwake huko songea wameliambia jukwaa kuwa serikali ipige marufuku vitendo vya ushoga kwani wanawake wengi hawana wanaume ama hawaolewi kutokana na kuwepo na competition na mashoga.
My take: hili nalo neno
Source: mwananchi tar 26 sept .uk 12
My take: hili nalo neno
Source: mwananchi tar 26 sept .uk 12