Anaogopa kuanguka jukwaani hivi sasa ule ugonjwa umerudi kwa kasi ya ajabu,akiona watu wengi anaanguka.
Nape mwenyewe anawapelekesha mputa huyo mwenyekiti si atawainamisha magwanda kabisa
JK hana cha kupoteza. sioni sababu ya yeye kwenda igunga. akina zito, lipumba, slaa, mbowe na wengineo bado wanahitaji kwenda juu. lakini jk yupo kileleni. atakuwa mjinga kama atapoteza muda wake. nilizoea kumsikia mara kaenda dom, mara arusha, mara moshi mara singida. lakini siku hizi anakula bata tu na ninapopost hii thread yupo marekani. now you can see. open your eyes.
Yasije tu yakamkuta yaliyomkuta mkuu wa wilaya.Tumeona wenyekiti wa vyama vyenye ushawishi mkubwa vya CDM na CUF kupeleka wenyeviti wao katika kampeni za ubunge jimbo la Igunga zinazoendelea hivi sasa.
Kutokana na tathmini na taarifa kadhaa za kiutafiti imebainika kuwa vyama vyenye ushawishi mkubwa jimboni hapo ni CCM na CDM na ijulikane kuwa mnano tarehe 25 ya mwezi huu CDM wanampango wa kuingiza silaha zao za mwisho za maangamizo kama vile, Sugu,Wenje,Mnyika,Mdee,Kiwia,Lema n.k hawa ni watu wenye ushawishi mkubwa sana kwa vijana kitu ambacho CCM hatuna vijana wenye ushawishi wa kiasi hiki,
Je ni wakati muafaka sasa wa mwenyekiti wetu ambaye ni mtu mwenye ushawishi mkubwa kwa vijana na wazee kuingia Igunga na kumalizia mashambulizi, wasawasi wangu ni pale matokeo ya uchaguzi yakaonekana tumeangushwa je umaarufu wa mwenyekiti wetu na chama kwa ujumla utakuwa kwenye hali gani.
Je ni wakati muhimu sasa wa kuomba nguvu za mwenyekiti?
Tumeona wenyekiti wa vyama vyenye ushawishi mkubwa vya CDM na CUF kupeleka wenyeviti wao katika kampeni za ubunge jimbo la Igunga zinazoendelea hivi sasa.
Kutokana na tathmini na taarifa kadhaa za kiutafiti imebainika kuwa vyama vyenye ushawishi mkubwa jimboni hapo ni CCM na CDM na ijulikane kuwa mnano tarehe 25 ya mwezi huu CDM wanampango wa kuingiza silaha zao za mwisho za maangamizo kama vile, Sugu,Wenje,Mnyika,Mdee,Kiwia,Lema n.k hawa ni watu wenye ushawishi mkubwa sana kwa vijana kitu ambacho CCM hatuna vijana wenye ushawishi wa kiasi hiki,
Je ni wakati muafaka sasa wa mwenyekiti wetu ambaye ni mtu mwenye ushawishi mkubwa kwa vijana na wazee kuingia Igunga na kumalizia mashambulizi, wasawasi wangu ni pale matokeo ya uchaguzi yakaonekana tumeangushwa je umaarufu wa mwenyekiti wetu na chama kwa ujumla utakuwa kwenye hali gani.
Je ni wakati muhimu sasa wa kuomba nguvu za mwenyekiti?
Hata saidia. Siku hizi hana mvuto, hana ushawishi.
Mwenyekiti wenu anajua kuwa hakushinda uchaguzi wa 2010. Self confidence imemwishia kabisa. Nitashangaa akitinga Igunga.
Mkuu mwenyekiti ndio kwanza kenda za New York kujipoza...Mwenzake Karzai wa Afghanstan karudi nyumbani baada ya rais wa zamani kuuawa, kaahirisha kabisa mkutano wa UN hali JK watu zaidi ya 1000 wamekufa maji hakwenda hata Pemba kuwapa pole kaishia Unguja mara huyooo New York - siku ya maombolezi Pemba katuma wajumbe.
Nimejaribu kuangalia polls zinazofanywa na baadhi ya vyombo mbali mbali na kupata mshtuko wa ajabu, hali yetu siyo nzuri mbali na kuwa na chama chenye wanachama wengi na resources za kutosha, ni kwa nini tunapelekwa mchakamchaka Igunga ambayo iko katika mkoa uliyoleta chachu ya mabadiliko TANU.
Do we need Mwenyekiti for this Igunga stuff?
Chifu Mangungo a.k.a kilaza anapokaa na wakuu tena wenye ushawishi na siasa za dunia hii,ni matokeo yake kama siyo nchi kuuzwa kwa bei mchekea? Mtu anayemega nchi kwa hongo ya viwalo kuna usalama hapo kweli .Ndo maana huwa natamani hii nchi ipgpindulliwe tu m'kiti na rais ambaye hana ushawishi kwenye nchi na chama chake mwenyewe ataongea nini na wakubwa hao chenye maslahi ya taifa lake? FIKIRI KWBNZA.Mkuu Jasusi, heshima mbele sana mkuu.
Matokeo yaliyo tangazwa na tume HURU ya Taifa ya uchaguzi yalionyesha mkuu alishinda kwa zaidi ya 60%, na ninapoandika hapa yupo hapa US katika vikao na watu wakubwa na wenye ushawishi mkubwa katika duru la siasa za dunia.