KakaKiiza
JF-Expert Member
- Feb 16, 2010
- 11,575
- 8,595
Hili la Mramba pia limetokea kwa Rostam, inawezekana wananchi wa sehemu husika wakawa sehemu ya mafao ya Ufisadi, maana unaweza kuwa fisadi Makini au Fisadi hovyo. sasa Rostam na Mramba wanaweza kuwa Mafisadi Makini, kwamba wanafisadi Mapato ya Watanzania lakini pia wanatumia sehemu ya pesa hizo hizo kuendeleza maeneo wanakotoka, kwa maana ya kujijenga zaidi kwa wapiga kura wao. just my opinion
Ndivyo hivyo ilivyo kaka Saharavoice:Kwani wao wanafisadi lakini ukienda katika majimbo yao utafikiri ni mako makuu ya wilaya!!!:A S-key: