Ushindi wa Obama (primaries) umekufundisha nini?

Lusajo

JF-Expert Member
Feb 25, 2008
456
30
Nimeangalia "Obama Revealed" tena kwenye CNN last weekend na kuona ni wapi Obama alikotoka na sasa hivi ndio hivyo anagombania Uraisi wa US kwa Ticket ya Democratic Party ambacho ni kitu cha kihistoria.

Nilikuwa naomba maoni ya wana jamii yaani waangalie katika Positive side ya ushindi wake yaani aliwezaje kushinda katika primaries na kumshinda hata Sen Hillary Clinton & (The Clinton Machine) katika uchaguzi ambao mama HRC alikuwa ndio favoured wa kushinda?

Obama alishinda wakati watu wengine walikuwa wanajua kwamba yeye ni Muislamu, na ni mweusi, na pia alikuwa anaonekana inexpirenced kati ya wagombea woote aliokuwa anashindana nao. (hapa nilitaka kuonyesha vipingamizi alivyokutana navyo)

Naomba wana Forum waende deep wakati wa kuchambua

n:b
1
. Nimeiweka tofauti na "Obama vs. Mccain" thread kwa sababu hii sio kwa ajili ya ku-cover uchaguzi wa US sasa hivi, nilikuwa nataka nione hii itasaidiaje Wanasiasa wapya watakaogombea na Vijana wa Tanzania ambao wana mpango wa kuingia kwenye siasa Bongo.

2. Sio kwamba nafananisha mambo ya Bongo na ya US, najua ni vitu viwili tofauti ila nataka kuona itasaidia vipii, (Somo sio lazima linye kutokea kwenye mazingira uliyotokea, unaweza kusoma na kuliweka katika mazingira ya kwako/kwenu)

3. Najua kuna wengine wanampinga Obama, m.f Nyani McCain , lakini naomba ukija hapa (hii thread) nisingeomba critisism naomba utupe positive side ya ushindi wake.

ASANTENI.
 
Siasa za Marekani ni tofauti kabisa na siasa za Tanzania. Marekani unaweza usifanye lolote kama candidate lakini ukiwa na coverage nzuri kwenye TV, umeula. Shwarzenegger aliingia State house ya California bila kuwa na sera yoyote.

Ushindi wa Obama kwenye primaries haukuwa zaidi against Clinton Machinery bali ulitokana na Clinton Machinery hiyo hiyo kwa vile watu wengi waliowahi kufanya kazi na Clinton hawakuwa na imani na yule mama; wote walikusanyika kwa Obama kusudi wamzime mama huyo hasa kwa vile alikuwa anaweka historia ya kuwa woman presidential candidate; wao wakatafuta historia zaidi kwa kuweka na black presidential candidate: ngoma droo. Hasa hasa walikuwa wanajua kuwa Obama siyo ile taipu ya Jesse jackson. Watu ambao hawakuhama kutoka kwa Clinton ni wale walio obvious kabisa kama Carvile na Begala, lakini wengine wote mpaka hata Lawayer wa Clinton wakati wa Lewinsky, na Gavana Richardson wote walikimbilia kwa Obama. Hiyo hiyo Clinton machionery iliyohamia kwa Obama ndiyo iliyosaidia sana kuimarisha positive coverage ya Obama kwenye CNN na MSNBC.

Sidhani kama ushindi wa Obama utafundisha lolote kwa wanasiasa wetu wa Tanzania ambako bado kampeini ni kugawa vitenge, kofia, T-Shirt, Pilau, pesa na mabuyu ya pombe..
 
Nimeangalia "Obama Revealed" tena kwenye CNN last weekend na kuona ni wapi Obama alikotoka na sasa hivi ndio hivyo anagombania Uraisi wa US kwa Ticket ya Democratic Party ambacho ni kitu cha kihistoria.

Nilikuwa naomba maoni ya wana jamii yaani waangalie katika Positive side ya ushindi wake yaani aliwezaje kushinda katika primaries na kumshinda hata Sen Hillary Clinton & (The Clinton Machine) katika uchaguzi ambao mama HRC alikuwa ndio favoured wa kushinda?

Obama alishinda wakati watu wengine walikuwa wanajua kwamba yeye ni Muislamu, na ni mweusi, na pia alikuwa anaonekana inexpirenced kati ya wagombea woote aliokuwa anashindana nao. (hapa nilitaka kuonyesha vipingamizi alivyokutana navyo)

Naomba wana Forum waende deep wakati wa kuchambua

n:b
1
. Nimeiweka tofauti na "Obama vs. Mccain" thread kwa sababu hii sio kwa ajili ya ku-cover uchaguzi wa US sasa hivi, nilikuwa nataka nione hii itasaidiaje Wanasiasa wapya watakaogombea na Vijana wa Tanzania ambao wana mpango wa kuingia kwenye siasa Bongo.

2. Sio kwamba nafananisha mambo ya Bongo na ya US, najua ni vitu viwili tofauti ila nataka kuona itasaidia vipii, (Somo sio lazima linye kutokea kwenye mazingira uliyotokea, unaweza kusoma na kuliweka katika mazingira ya kwako/kwenu)

3. Najua kuna wengine wanampinga Obama, m.f Nyani McCain , lakini naomba ukija hapa (hii thread) nisingeomba critisism naomba utupe positive side ya ushindi wake.

ASANTENI.

Inadhihirisha kuwa Marekani ni nchi bora zaidi kuliko mataifa mengine. Ndiyo, ina kasoro na mapungufu, lakini uzuri wa watu wake ni kwamba wanajifunza kutokana na makosa waliyoyafanya huko nyuma. Bila wazungu Obama asingefika hapo alipofika. Hiyo ni hatua kubwa sana ambayo taifa la Marekani limepiga. Ni mmoja wa mifano mingi ya fursa sawa kwa wote bila kuangalia rangi, uasili wa utaifa, dini, n.k.

Pamoja na kusema haya, haina maana namfagilia Obama. Hell to the no! McCain-Palin all the way 08.
 
Inadhihirisha kuwa Marekani ni nchi bora zaidi kuliko mataifa mengine. Ndiyo, ina kasoro na mapungufu, lakini uzuri wa watu wake ni kwamba wanajifunza kutokana na makosa waliyoyafanya huko nyuma. Bila wazungu Obama asingefika hapo alipofika. Hiyo ni hatua kubwa sana ambayo taifa la Marekani limepiga. Ni mmoja wa mifano mingi ya fursa sawa kwa wote bila kuangalia rangi, uasili wa utaifa, dini, n.k.

Pamoja na kusema haya, haina maana namfagilia Obama. Hell to the no! McCain-Palin all the way 08.
Asante Nyani, lakini what do u think about alivyokuja na message yake ya change, kwani wabongo wapya wanaoingia hawawezi kuitumia hiyo msg?, Pamoja na Grassroot movement nasikia marehemu Chacha Wangwe (RIP)aliitumia
 
Asante Nyani, lakini what do u think about alivyokuja na message yake ya change, kwani wabongo wapya wanaoingia hawawezi kuitumia hiyo msg?, Pamoja na Grassroot movement nasikia marehemu Chacha Wangwe (RIP)aliitumia

Hiyo change yake hai-make sense kwa sababu kamchagua Biden ambaye yuko Washington kwa miaka 36. Sasa change gani hiyo?
 
Hiyo change yake hai-make sense kwa sababu kamchagua Biden ambaye yuko Washington kwa miaka 36. Sasa change gani hiyo?

Wanaita ku-assure wapiga kura. Mimi naongelea primaries, yaani ungesoma habari hapo juu, kwamba watu (Wabongo) wajifunze nini ambavyo vinaweza kuwasaidia kwenye Kampeni zao mbeleni? Naomba na ushauri wako kaka.
 
Back
Top Bottom