calculator
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 279
- 137
- Thread starter
- #41
Mbona Arumeru mlileta majeshi yote na bado mkapigwa chini?
Watu wa Arusha ni werevu sana, njooni na pesa zenu tushibe tukalale kwa chadema.
Shahada za kupigia kura za vijana wote tunazinunua kwa laki na nusu. Vijana wenu njaa kali, hapo arusha tunashinda kiulainiiiiii. Subirini muone nyie magwanda