idawa
JF-Expert Member
- Jan 20, 2012
- 25,284
- 38,312
inaeleweka muda mwingi Nappe amekua akimtuhumu lowassa kwamba ni fisadi na anatakiwa kujivua gamba na iko wazi kwamba nappe hakuumunga mkono sioi kwenye kura za maoni na ndio maana uchaguzi ukarudiwa mara mbili kwa kigezo kwamba hakuvuka % zinazotakiwa.!!