TETILE
Member
- Mar 21, 2012
- 38
- 9
Nasema ushindi wa CHADEM Arm-Mashariki uko wazi CCM kubalini matokeo kwani mkikubali tu mtakuwa mnaonesha ukomavu wa kisiasa.
Pia acheni vurugu,uongo,uzushi na siasa za kuchafuana.
Tafuteni sera zenye mashiko kama hakuna tulieni na kukubaliana na hali halisi (MATOKEO)
Tukutane kwenye kituturi Aprili Mosi
Pia acheni vurugu,uongo,uzushi na siasa za kuchafuana.
Tafuteni sera zenye mashiko kama hakuna tulieni na kukubaliana na hali halisi (MATOKEO)
Tukutane kwenye kituturi Aprili Mosi