Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Habari wandugu! ningependa madaktari waliopo hapa wanisaidie kama kuna dawa yeyote ambayo imetengenezwa kwa ajili ya kuzuia mhemko? ( ambayo inaweza kuwasaidia wale ambao hawana mpango wa kuyaingia maisha ya ndoa wakaishi peke yao maisha yao yote).
Ahahahaaaah!!!Labda uhasiwe. Ndio dawa yake.
ikate chururu yako.
ha ha ha ha....!!! Umenivunja mbavu. Ndugu kumbuka mahali ulipokesea ukatubu dhambi zako. Mungu hakukosea kukuumba jinsi ulivyo. Hata ukipata hizo dawa ukaztumia zikakata mawasiliano ya ku Do hakika mbingu hautaiona manake utakuwa umeharibu uumbaji wake Mola.Habari wandugu! ningependa madaktari waliopo hapa wanisaidie kama kuna dawa yeyote ambayo imetengenezwa kwa ajili ya kuzuia mhemko? ( ambayo inaweza kuwasaidia wale ambao hawana mpango wa kuyaingia maisha ya ndoa wakaishi peke yao maisha yao yote).