Kwangu mimi ikiwa mke wangu amejifunguwa ninampa siku 40 baada ya siku ya 40 nitafanya nae mapenzi kama kawa sijuwi kwa watu wengine. hebu tungoje watu wengine watujuze basi unasemaje kwa mawazo yangu mimi?
Nijuavyo mie baada ya miezi mitatu..
Siku 40 inatosha kaka mkubwa ila kuna kitu kimoja kinaitwa kubemenda mtoto nacho inabidi mwenye elimu hiyo atujuze.Ila mimi ninaendelea na my wife baada ya siku 40 na sitengenezi fundi viatu.
Kubemenda inatokana na ku-ejaculate ndani ya vagina, ila kama natoa nje hamna ki2 hyo.