Hili tu limekuchanganya kaka ndoa kweli utaiweza ndoa ina mikiki inatakiwa uwe tayari kwa changamoto huwa wanasema ndoa ni full of changamoto,Muache tu mpaka atakapoamua kukutafuta na ajieleze mwenyewe usimuulize ukaanza kulia lia atakutesa huyo kuwa mkakamavuMkuu usioe kwanza inaonekana akili yako bado haijakua kiasi cha kuweza kuhimili mikiki ya ndoa
pixel