Ushauri makini......watu wanalia lia tu............jiongozee..................mapenzi mapenzi........huyu ndo mara ya kwanza kujihisishajiongeze ukiona hivyo kashapata sponsor anaona unamkera tu bora akublock, hivi mtaacha lini kulia lia ukiona mtu hakupendi achana nae akikuua je wanawake wote waliojaa na ww mblock kote mpk kwenye simu kaa kimya tafuta mwanamke mwingine akukeep busy
AsanteKaa kimya,usimtafute.Asipokutafuta ndani ya wiki tatu,msahau,huyo ana kusudi la kufanya hilo na si bahati mbaya,tafyta wako kwingine.
AsanteIko hv mkuu ngoja tushirikishane uzoefu wa hawa viumbe;
Juzi kati hapa tulitofautiana kidogo tukayajenga yakaisha ikafuatiwa na kunyutiana kama wiki 2 hivi.
Sasa haka kabinti kakaaa kakaona eti kaandike msg kamenipiga chini nikamwambia sawa kila la kheri mama sasa kumbe alikua anatingisha kiberiti bhana kimewaka haishi kuomba re-union
Wanawake wako wengi usiumize kichwa kwa mtu ambaye hayuko serious na relationship wakati wewe ndo umewekeza kila kitu kwake.
Piga chini fasta huyoo
Wakubwa wanafaidi mi ndo Kwanzaa mtoto ktk pichakweli kabisa kama sio sekondari ni wa chuo unalia lia tu sbbu ya mwanamke ambae mmekutana ukubwani na wakat wengine wapo wamejaa tele
Hivi hiyo mikiki ya ndoa ni ipi?Mkuu usioe kwanza inaonekana akili yako bado haijakua kiasi cha kuweza kuhimili mikiki ya ndoa
pixel