Kipis
JF-Expert Member
- Jul 23, 2011
- 492
- 61
Nina sister wangu yeye ni mjamzito, uja uzito wake una tkribani miezi kama sita hivi.<br />
<br />
katika kipindi hiki alichokuwanacho, kuna baadhi ya matatizo huwa yanamtokea kama vile kufa ganzi kuanzia maeneo ya kiuno hadi Miguuni. Pia kuna wakati anaishiwa nguvu kabisa. Anaomba msaada wenu kimawazo inaweza ikawa ni ishara gani hizo au ni kawaida tu. Hiyo ni mimba yake ya kwanza.
<br />
katika kipindi hiki alichokuwanacho, kuna baadhi ya matatizo huwa yanamtokea kama vile kufa ganzi kuanzia maeneo ya kiuno hadi Miguuni. Pia kuna wakati anaishiwa nguvu kabisa. Anaomba msaada wenu kimawazo inaweza ikawa ni ishara gani hizo au ni kawaida tu. Hiyo ni mimba yake ya kwanza.