Natal Vice
Member
- Dec 8, 2013
- 16
- 8
Habar zenu wana Jamii Forums.
Mimi ni mgeni humu ila nimeona niingie humu kwa kupata ushauri zaidi,ni miaka miwili tangu nimeolewa na nashukuru Mungu ninaishi vizuri na mume wangu na pia Mungu katujalia tumepata mtoto mmoja na pia kwa sasa nina ujauzito.
Tatizo langu kubwa ni kwa huyu mume wangu kila naposhika mimba hasa mimba inapofikia umri wa miezi mitatu, mume wangu hapendi kabisa kukutana kimwili na mimi,mwanzoni nilivyokuwa mjamzito i mean kwa mtoto wangu wa kwanza.
Nayo ilikuwa hivyo hivyo,nikawa najitahidi kujiweka fresh zaidi lakini hali ni vile vile na sasa hivi napo naona hali ni vilevile,nisipokuwa mjamzito kwa kweli tunashiriki vizuru tendo la ndoa lakinu nikiwa mjazito hali inakuwa hivi.
Naombeni ushauri wenu tafadhali.
Mimi ni mgeni humu ila nimeona niingie humu kwa kupata ushauri zaidi,ni miaka miwili tangu nimeolewa na nashukuru Mungu ninaishi vizuri na mume wangu na pia Mungu katujalia tumepata mtoto mmoja na pia kwa sasa nina ujauzito.
Tatizo langu kubwa ni kwa huyu mume wangu kila naposhika mimba hasa mimba inapofikia umri wa miezi mitatu, mume wangu hapendi kabisa kukutana kimwili na mimi,mwanzoni nilivyokuwa mjamzito i mean kwa mtoto wangu wa kwanza.
Nayo ilikuwa hivyo hivyo,nikawa najitahidi kujiweka fresh zaidi lakini hali ni vile vile na sasa hivi napo naona hali ni vilevile,nisipokuwa mjamzito kwa kweli tunashiriki vizuru tendo la ndoa lakinu nikiwa mjazito hali inakuwa hivi.
Naombeni ushauri wenu tafadhali.