DALA
JF-Expert Member
- Aug 24, 2009
- 2,212
- 4,515
Waungwana natumai mko salama,
Mimi nina tatizo moja ambalo nafikiri kwa sasa limeniweka kwenye kona kali sana. Mwaka 2004 november nilikutana na binti mmoja wakitanga msambaa tukawa tumependana sana ila kwa mikiki mikiki ya mahusiano tulilazimika kuachana mwaka 2006 mwezi wa 9 ingawa sikupenda binafasi but kwa sababu nilishindwa ujeuri wa kifedha kutokana na kibarua chanyu kuota nyasi ilibidi niingie gharama ya kuseparate kwani mara nyngi nilionekana muongo kwa sababu hata simu ilifika hatua nikauza na kwa hiyo mawasiliano yakawa maagumu, binti akaona ninampiga chenga coz alikua shule Mpwapwa wakati mimi nilikua Dar na hakuweza kuniamini katika mazingira hayo.
Niliumia sana but ilibidi nikubali matokeo though baadae mchaka mchaka wakurudiana ikaanza bila ya mafanikio, then I was single mpaka 2008 february, nikakutana na kibinti kutoka Switzerland tukapendana. Yule dada akawa amemaliza 4m six ikabidi aje Dar kwa ndugu zake. Msala ukaanza. turudiane ndo ikawa hoja hata nikisema nina mwingine wapi ikabidi niwe napiga mzigo coz by then yule Mswiss alikua ulaya na mimi bado niko bongo ikawa rahisi ila kurudiana kiukweli ikawa mbinde kwangu kwa hiyo kuviziana mpka basi nikaondoka ulaya, nilivyorudi msala tena kama kawa.
Bahati mbaya nikaachana na yule mzungu kutokana na distance na mambo mengine though nayo sote hatukuridhika na ile hali 2008 November nikiwa safarini African kusini tukaachana rasmi na huyo mzungu kwa hiyo nikawa free kwa mzungu ila home bado nikawa na msala wa binti wakitanga ambaye amekua king'ang'aninzi kama kawa thogh uamuzi wangu moyoni ulikua unajulikana na kwake kwamba kurudiana haiwezekani.
2009 Mey nikakutana na Mzungu mwingine ambay naye akanipenda ile mbaya na hapo ndo tatizo ilipoanzia tena kutokana na teknologia ya mawasiliano hii ikajulikana Uswiss kwamba nini mwingine kwenye facebook, kiukwekli ninampenda yule wa Uswiss ile mbaya . Yeye akanza kunisakama, haiwezekani kumuacha inabidi arudi bongo nimuoe. Msala mwingine coz yule watanga naye bado anavutia upande wake nikawa ninampiga huyu msiwss biti ila wapi mpaka leo hii niniaishi na mwenzkae mwaka wa 3 baada ya kuachana ila ndo mapenzi yamenoga anataka nimuoe. Nimemwambia huyu mzzungu wa sasa ukweli uliopo na hivi sasa nina washawishi kama watakubali, niwaoe wazungu wote waje bongo coz nimeshindwa kuamua mwenyewe kati ya hawa wawili japokua yule wakitanga nae nilimfanyia mchongo akaenda uingereza alivorudi akakomaa tena kwangu!
Huuuuuuu Msala nifanyeje!
Mimi nina tatizo moja ambalo nafikiri kwa sasa limeniweka kwenye kona kali sana. Mwaka 2004 november nilikutana na binti mmoja wakitanga msambaa tukawa tumependana sana ila kwa mikiki mikiki ya mahusiano tulilazimika kuachana mwaka 2006 mwezi wa 9 ingawa sikupenda binafasi but kwa sababu nilishindwa ujeuri wa kifedha kutokana na kibarua chanyu kuota nyasi ilibidi niingie gharama ya kuseparate kwani mara nyngi nilionekana muongo kwa sababu hata simu ilifika hatua nikauza na kwa hiyo mawasiliano yakawa maagumu, binti akaona ninampiga chenga coz alikua shule Mpwapwa wakati mimi nilikua Dar na hakuweza kuniamini katika mazingira hayo.
Niliumia sana but ilibidi nikubali matokeo though baadae mchaka mchaka wakurudiana ikaanza bila ya mafanikio, then I was single mpaka 2008 february, nikakutana na kibinti kutoka Switzerland tukapendana. Yule dada akawa amemaliza 4m six ikabidi aje Dar kwa ndugu zake. Msala ukaanza. turudiane ndo ikawa hoja hata nikisema nina mwingine wapi ikabidi niwe napiga mzigo coz by then yule Mswiss alikua ulaya na mimi bado niko bongo ikawa rahisi ila kurudiana kiukweli ikawa mbinde kwangu kwa hiyo kuviziana mpka basi nikaondoka ulaya, nilivyorudi msala tena kama kawa.
Bahati mbaya nikaachana na yule mzungu kutokana na distance na mambo mengine though nayo sote hatukuridhika na ile hali 2008 November nikiwa safarini African kusini tukaachana rasmi na huyo mzungu kwa hiyo nikawa free kwa mzungu ila home bado nikawa na msala wa binti wakitanga ambaye amekua king'ang'aninzi kama kawa thogh uamuzi wangu moyoni ulikua unajulikana na kwake kwamba kurudiana haiwezekani.
2009 Mey nikakutana na Mzungu mwingine ambay naye akanipenda ile mbaya na hapo ndo tatizo ilipoanzia tena kutokana na teknologia ya mawasiliano hii ikajulikana Uswiss kwamba nini mwingine kwenye facebook, kiukwekli ninampenda yule wa Uswiss ile mbaya . Yeye akanza kunisakama, haiwezekani kumuacha inabidi arudi bongo nimuoe. Msala mwingine coz yule watanga naye bado anavutia upande wake nikawa ninampiga huyu msiwss biti ila wapi mpaka leo hii niniaishi na mwenzkae mwaka wa 3 baada ya kuachana ila ndo mapenzi yamenoga anataka nimuoe. Nimemwambia huyu mzzungu wa sasa ukweli uliopo na hivi sasa nina washawishi kama watakubali, niwaoe wazungu wote waje bongo coz nimeshindwa kuamua mwenyewe kati ya hawa wawili japokua yule wakitanga nae nilimfanyia mchongo akaenda uingereza alivorudi akakomaa tena kwangu!
Huuuuuuu Msala nifanyeje!