lufungulo k
JF-Expert Member
- Apr 19, 2012
- 2,541
- 1,973
NYINYI mawaziri hamfanyi kazi uchumi wa nchi unadorora sababu ya nyinyi kuwazia URAIS, tutamuomba rais awatimue. nauliza kama wapo mawaziri wa namna hiyo ni kosa kuwakosoa. mimi nikiteuliwa na chama changu kugombea urais ntakubali. vilevile napenda kugombea urais. jamani kuna kosa. aaaah kwa kuwa nyie ni watani ,ngoja niwaache. ila mawaziri waligutuka maana jamaa mwiba mkali wengine chamoto walikiona ,wengine wakaula na wako on fire kama mh MWAKYEMBE.