Ushauri wangu kwa Mhe Tundu Lissu

Ni kweli leo nilitazama bunge la asubuhi, aisee ni kweli huyu jamaa anakurupuka sana kuuliza maswali yasiyo na tija ama kuomba miongozo kwa ajili ya ufafanuzi ambapo kwa sehemu kubwa kama angetulia ama kujipanga vizuri angekuwa amashapata jibu ama kuelewa kilichofanyika, lakini cha ajabu na ulimbukeni mkubwa wa kutoka media coverage anaingia kichwa kichwa na kuuliza vitu ambavyo ufafanuzi ukitolewa anakuwa amepwaya sana, kiasi kwamba huwezi kuamini kama Mh. Tundu Anthipas Lissu ni mweledi aliyebobea kwenye Sheria.
Lazima abadilike asilazimishe umaarufu

wewe una matatizo ya kuzaliwa nayo...tena gamba unayetumia makalio kufikiria...la sivyo anaficha sana hela za wizi na huli matunda ya kutosha...au udogoni hukumaliza chanjo au ulizaliwa miezi 6. hakuna kitu anaongea Lissu hakina mantiki na kumbuka Lissu ni sawa na wabunge 100 wa CCM wakiwa pamoja.
 
Aisee kumbe umemuona. Kila kitu anakizungumza kwa kutaka kuonekana kama ni mtaalamu sana na anauchungu sana na maisha ya watu. Ukimwangalia usoni na ukilinganisha na anacho kisema ni vitu viwili tofauti. Ananikumbusha debate club nilipokuwa shule. Wakati huo umaarufu wa kupanga maneno ya kingereza ulileta umaarufu sana. Kuna mwingine alikuwa hivyo. Bahati mbaya ubunge uliyeyuka

Kama na wewe umesoma na unajibu hivi kwa kweli usiseme kuwa umesoma maana unatudhalilisha tuliosoma zaidi yako.
 
Mtoa maada hapo juu inaonekana yeye ni wale wale wa ndio kila kitu hata kama ni la kijinga huu co wakati wa kuburuzwa watu wameamka wabunge mbumbumbu wanapitisha miswada hata ya kijinga lkn wakitoka bungeni wanajutia kama hujui kitu ni bora kuuliza kuliko kupiga makofi kwa kila kinachosemwa hata kama hujui ni nini.ndo nyie mnao lala bungeni na mwisho wa cku naomba kuongezewa posho watu wanajua wabunge wao wanaochapa kazi na kuuliza co ujinga bali mjinga ni yule anaeburuzwa.
 
magamba point of view!

Whatever you can call it but the facts will remain stand still sometimes we "citizens" magamba, magwanda and magome we don't want "drama kings" or "show off" characters. What we need is commitment to us on implementing "sera" so that we can all have national cake.
 
Whatever you can call it but the facts will remain stand still sometimes we "citizens" magamba, magwanda and magome we don't want "drama kings" or "show off" characters. What we need is commitment to us on implementing "sera" so that we can all have national cake.

wewe na huyo waziri msitake kuniambia uranium haina madhara bana!...na pia sifikiri kama issue ya waziri mkuu kwenda Vunjo ilikuwa ina umuhimu mkubwa kwenye nafasi finyu ya nusu saa kumchapa waziri mkuu maswali...
 
wewe na huyo waziri msitake kuniambia uranium haina madhara bana!...na pia sifikiri kama issue ya waziri mkuu kwenda Vunjo ilikuwa ina umuhimu mkubwa kwenye nafasi finyu ya nusu saa kumchapa waziri mkuu maswali...

Hata vyakula vina madhara, barabara za lami zimeleta madhara mengi sana usiniambie kuwa hatutaki barabara nzuri zenye kupitika wakati wote.

Sigara zina madhara lakini kwenye bajeti iliyosomwa jana wameongezea kodi na watu wanaendelea kuzivuta!
Hakuna maendeleo yasiyokuwa na madhara!
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom