Wakuu nawasalim.
CHADEMA,nawaomba mtambue kwamba wananchi wamechoka na siasa za majukwaani,masikio hayapo tayari tena kusikia juu ya Operesheni Sangara wala M4C zisizo na matokeo ya moja kwa moja kwa Mtanzania.
Kama chama,badala ya kutumia millions of money majukaani,hebu tujaribu kufanya haya..
1. Tufanye harambee nchi nzima tuchangishe fedha tununue madawa na tusambaze mahospitalini.
2. Tutumie muda mwingi kujishughulisha na mambo ya maendeleo kama kuwanunulia na kuwasambazia wakulima mbolea
3. Tushiriki kikamilifu kwenye shughuli za kijamii kama usafi wa miji na majiji.
4. Tuhakikishe tunapata fedha na tunaboresha zahanati na ward za wajawazito kwa kuongeza vifaa na vitanda.
5. Kuhakikisha vitabu vya kiada na ziada vinapatikana kwenye mashule
6. Wakati wanachangisha waalimu ili kujenga maabara sisi tuje kivingine na tuhakikishe zinapatikana kwa msaada wetu
Tuache kuwachamba ccm bila vitendo..tutende ..tuwaoneshe wananchi kuwajali na hakika watatuelewa...
kama una ushauri zaidi karibu...
ALUTA CONTINUA
CHADEMA,nawaomba mtambue kwamba wananchi wamechoka na siasa za majukwaani,masikio hayapo tayari tena kusikia juu ya Operesheni Sangara wala M4C zisizo na matokeo ya moja kwa moja kwa Mtanzania.
Kama chama,badala ya kutumia millions of money majukaani,hebu tujaribu kufanya haya..
1. Tufanye harambee nchi nzima tuchangishe fedha tununue madawa na tusambaze mahospitalini.
2. Tutumie muda mwingi kujishughulisha na mambo ya maendeleo kama kuwanunulia na kuwasambazia wakulima mbolea
3. Tushiriki kikamilifu kwenye shughuli za kijamii kama usafi wa miji na majiji.
4. Tuhakikishe tunapata fedha na tunaboresha zahanati na ward za wajawazito kwa kuongeza vifaa na vitanda.
5. Kuhakikisha vitabu vya kiada na ziada vinapatikana kwenye mashule
6. Wakati wanachangisha waalimu ili kujenga maabara sisi tuje kivingine na tuhakikishe zinapatikana kwa msaada wetu
Tuache kuwachamba ccm bila vitendo..tutende ..tuwaoneshe wananchi kuwajali na hakika watatuelewa...
kama una ushauri zaidi karibu...
ALUTA CONTINUA