Ushauri wangu katika mahusiano yaliyovunjika

Thnx sis' Michelle, maana ni kama umenizungumzia mimi vile maana nilikuwa mbioni:hand:
 
Mpevu
Dhambi inakuja pale unapozini,si kila bf/gf wanazini kuna mtu anakupa shida tu kwa matatizo yake ya nyuma,hawezi keep promises,amekata tamaa,haeleweki malengo yake,sasa if upande wa pili hauelewi hilo ni mateso.

Manake mwisho wa siku yule mwenye tatizo ataona kama ananang'wa vile na mwenzie anakuwa kero kwake,kumbe ni kumpenda tu....sasa mwenye maumivu yake akimuacha yule anayempenda si atalia na kuhuzunika au kuona kapotezewa muda? ndo nilichomaanisha,thanks!
 
Last edited by a moderator:
Thnx sis' Michelle, maana ni kama umenizungumzia mimi vile maana nilikuwa mbioni:hand:


Take time my brother,forgive+heal then move on with confidence and lots of faith......to give and receive love!!
 
CPU
Huwezi mlazimisha mtu kuchukua ushauri CPU,huo ni uamuzi wake ila kamwe siwezi acha kutimiza wajibu wangu kama rafiki kwa hofu kuwa hatochukua ushauri.thanks!
 
Last edited by a moderator:
Na watu wengine huwa kama vile kutaka kumwonyesha waliyeachana nae kwamba wanaweza kupendwa na wengine kwa hiyo wanajikuta wakijiingiza kwenye uhusiano mwingine harakaharaka bila kuangalia vitu muhimu vinavyomvutia,

Pia kujifanya unaweza kumove on bila yeye aliyeachana naye. badae anajikuta amefanya kosa kubwa sana. haya yote uliyosema ni kweli tupu, na ushauri mzuri ambao wengi wetu tukiufata hatutaumia sana kama ambavyo tunaumia sasa
 
Shantel
Bora umefafanua mtu anajiumiza mwenyewe na wengine eti ili kuonyesha mwanamke hauko peke yako au mwanaume hauko peke yako kumbe rohoni kuna mengine,kilio na chuki,cry it over usonge mbele!thanks!
 
Last edited by a moderator:
Huwezi mlazimisha mtu kuchukua ushauri CPU,huo ni uamuzi wake....ila kamwe siwezi acha kutimiza wajibu wangu kama rafiki kwa hofu kuwa hatochukua ushauri......thanks!

Wala huna haja ya kuhofu, we mwaga hata ushauri 100 lakin I know sikio la kufa . . . . .
Tutachangia na kuona ushauri unafaa sisi tuliowastaarabu lakin kwa wengine itakuwa opposite
Hasa hasa huyu HATOSHEKI
 
Wengine tulishakutana na mambo na kama haya. Niliwahi kuwekeza kwa Mtu nikijua ndo my wife wangu mtarajiwa. After 5 years of strong relationship alinitendea kitu ambacho nilifikiri sitasahau.


Response yangu ilikuwa ni kupora girlfriend wa mtu kwa kutumia nguvu kubwa. amini usiamini huyo nilidumu naye miezi mitatu tu mambo yakaharibika. Nilipoamua kusettle na kutafuta mtu muafaka,

leo hii ndoa ina miaka 3, tena strong na yenye furaha. NIMESAHAU KABISA KWAMBA KUNA MTU NILIWAHI KUWA NAYE BEFORE ACHA KWAMBA ALINISALITI, SO life goes on
 
Michelle... you surprised me today, i think this is one of your best contribution

Love Ya
 
Bandika bandua mbaya sana my sister,kwa mwaka unaweza kuwa umefanya hivyo hata mara 20,sasa kuja kupona hilo donda,utahiyaji muda sana,lakini otherwise ukitulia na kutafakari hata mwezi unaweza pona na kuendelea na maisha yako....issue ni we tend to avoid dealing with our emotional problems.....

Halafu unajikuta jamii inakutafsiri kwamba yule mwanaume/mke ameshindikana hawezi kuishi na mtu
 
Unafanya uamuzi then unajuta maisha yako yote what a waste?? thanx michelle, yan unajifanya unakomoa kumbe unajikomoa mwenyewe badae huna wa kumjutia
 
Michelle, asante sana kwa hii mada. Mimi ni mdau wa ushauri wako pia.

Tatizo lingine ni kwamba wadada wakijua kwamba sasa uko single na uko somehow established, wanakusumbua kweli kweli hadi wanakutia hasira zaidi. Hawana aibu na hawajui kwamba you need time kwa feelings zako kuhusu wanawanke kurudi normal. Pia hawajui kama it is about chemistry, hudhani kwa sababu tu kwamba uko single kwa nini usikubali relationship na mwanamke, nini kinakuzuia
 
Thanks for the word michelle mi nadhani hili swala la mtu kudeal na his/her personal emotional problem sio tu kwa wale ambao wapo single it also applies to married people, sometimez unakuta kuna tatizo kati ya mke na mume.

Let say mke amefind out mume anacheat or vise versa katika situation kama hiyo hawa watu pia wanahitaji kupeana space ili huyo ambaye emotion zake zimekuwa damaged apate muda wa kuheal and move on with the same person, we tend to think only those who r single need time to heel but even married ones they need time to heel!
 
Tena mnafanya hapa ni sehemu ya kuchart, unatoa comment unawaona watu wanaongelea mambo ambayo hayafahamiki kwa wengine mpaka unaona uikimbie POST, acheni hizo kama mna mambo yenu Private ni bora muka PM au mukagonga kitufe cha kuchart, musiwe hivyo wakuu munatubore
 
Unafanya uamuzi then unajuta maisha yako yote what a waste?? thanx michelle, yan unajifanya unakomoa kumbe unajikomoa mwenyewe badae huna wa kumjutia

Kweli my sister,yaani there are things we will live regretting,lakini ndo maisha.....wanasema as long as you live keep learning how to live....watu wamefikiri wanakomoa wameenda kaburini wao kwanza......unafikiri unakomoa,huyo unayekutana nae nae pia anakomoa au analipiza.....hapo sasa!!! thanks!
 
Back
Top Bottom