Ushauri wana jf!

Jpinduzi

Senior Member
Feb 26, 2011
136
68
Kuna jamaa yangu best sana tangu primary!tulipotezana kwa mda baada ya yeye kuendelea na masomo.Baadae nilisikia yupo Uganda anafanya biashara kwa mda mrefu.Baada ya kitambo cha miaka kazaa aliamua kuachana na ubachera(single) na kutafuta mchumba.Njia aliyotumia ilikuwa ni kuchati kwenye mitandao si mda mrefu akafamiana na binti mmoja mkazi wa Nyamagana mjini mwanza.Binti huyu ni mwalimu.Awali binti alimwambia jamaa kuwa alikuwa na mahusiano na jamaa furani ila baada ya miaka kazaa walipotezana kwa sababu ya majukum ya hapa na pale.Inshu ni kwamba jamaa alidoo na huyo binti baada ya kukutana hawakutumia mpira.Tangu hapo walikuwa marafiki sana mpaka wakaamua kufunga ndoa.Cha ajabu jamaa yangu anakataa mtoto kuwa si wakwake kuwa ametwishwa mzigo.Baada ya kumliza kwa undani zaidi alisema kuwa alikutana na huyo binti kimwili tar 6 April 2010 na mtoto amezaliwa tar 27december2010.Kwa maelezo yake jamaa anasema kuwa binti alishamueleza kuwa anaingia mwezini kati ya hizi tarehe kila mwezi 25,27,29,au 1.Sasa jamaa ameamua kumkataa kwa kudai kuwa mtoto si wake kwa kuwa siku na tareh haviendani kwa mtoto kuzaliwa.Wana jf ushaurii tafadhali
 
Labda ni premature.Alivyoenda kavu alikua anategemea nini?Alafu kama walikuta april wamepata wapi muda wa kujuana vizuri mpaka kuoana?
 
Kwa nini umekosa uaminifu huo
kama walidu tarehe 6 April na aliona period tarehe 25 March kwa nini anasema tarehe haziendani
Mtoto ni wake aache ukora
Hii tabia ya kukataa watoto inazidi wanaume acheni hizo watoto wakishakuwa wakubwa
ndio mnawataka
 
Labda ni premature.Alivyoenda kavu alikua anategemea nini?Alafu kama walikuta april wamepata wapi muda wa kujuana vizuri mpaka kuoana?

Mpz Lizzy
Walifahamiana kwenye mtandao walipokutana april ilikuwa kumaliza game
 
Asanteni kwa ushauri yeye anadai walijuana kwenye mtandao!kikubwa zaidi anasema kuwa siku yaani miezi tisa kama wanavyodai hazijatimia zingetimia january 6 au ikawa mbele zaidi!
 
Mpz Lizzy
Walifahamiana kwenye mtandao walipokutana april ilikuwa kumaliza game

Hiyo nimeona mami...ila hakutaka kujuana live hata kidogo?Alafu kama wameoana akiwa tayari na mimba iweje akatae mtoto sasa hivi?Maana ukienda hosp unaweza kujua muda ina muda gani kwahiyo wanaweza kukadiria hata tar!Yani hawa wanaume wa hivi wana mambo...STAREHE NDIO...MAJUKUMU HAPANA!
 
Black woman yeye anavyodai ni kuwa tarehe hizo ameambiwa na mke wake baada ya kuoana hapo awali alikuwa hajui chochote kuhusu piliod maana jamaa mda mrefu anakuwa Uganda hivyo ni kuja na kuondoka anaweza kukata miezi kama sita had saba bila kuja tz wakati mwingine huwa anaelekea Ulaya kwa mda mrefu bila kurudi nyumbani
 
Asanteni kwa ushauri yeye anadai walijuana kwenye mtandao!kikubwa zaidi anasema kuwa siku yaani miezi tisa kama wanavyodai hazijatimia zingetimia january 6 au ikawa mbele zaidi!

Hamjawahi kusikia neno premature au njiti kwa lugha yetu?
 
Dada Lizzy Swali kubwa ambalo linamsumbua kichwani kila ninapompa ushauri ni kwamba kuwa jamaa anasema kuwa mtu anaweza kuingia tarehe 25march na akapata mimba tarehe 06 april!hilo ndo swali kila kukicha nikimshauri hakubali
 
Kuna jamaa yangu best sana tangu primary!tulipotezana kwa mda baada ya yeye kuendelea na masomo.Baadae nilisikia yupo Uganda anafanya biashara kwa mda mrefu.Baada ya kitambo cha miaka kazaa aliamua kuachana na ubachera(single) na kutafuta mchumba.Njia aliyotumia ilikuwa ni kuchati kwenye mitandao si mda mrefu akafamiana na binti mmoja mkazi wa Nyamagana mjini mwanza.Binti huyu ni mwalimu.Awali binti alimwambia jamaa kuwa alikuwa na mahusiano na jamaa furani ila baada ya miaka kazaa walipotezana kwa sababu ya majukum ya hapa na pale.Inshu ni kwamba jamaa alidoo na huyo binti baada ya kukutana hawakutumia mpira.Tangu hapo walikuwa marafiki sana mpaka wakaamua kufunga ndoa.Cha ajabu jamaa yangu anakataa mtoto kuwa si wakwake kuwa ametwishwa mzigo.Baada ya kumliza kwa undani zaidi alisema kuwa alikutana na huyo binti kimwili tar 6 April 2010 na mtoto amezaliwa tar 27december2010.Kwa maelezo yake jamaa anasema kuwa binti alishamueleza kuwa anaingia mwezini kati ya hizi tarehe kila mwezi 25,27,29,au 1.Sasa jamaa ameamua kumkataa kwa kudai kuwa mtoto si wake kwa kuwa siku na tareh haviendani kwa mtoto kuzaliwa.Wana jf ushaurii tafadhali

Kama hamtaki mtoto kwa sababu zingine aseme, wengine wanatamani sana hao watoto na kuwahangaikia.
Ila habari ya kujifanya anajua mzunguko wa period wa huyo dada kama vile anaenda yeye mwezini aache..kwanza anajua ni mzunguko mrefu au mfupi?anajua mzunguko unaweza kutofautiana kwa sababu kadhaa? alivyofanya kavu alitegemea ametoa mapovu?pia kubeba mimba anajua ni wiki ngapi?na kwamba inaweza isitimie miezi 9...Pheew! hayuko tayari kimalezi na aache sababu za kijinga!!
 
Nashukuru sana Belinda kwa ushauri wako nitamfikishia jamaa yangu ujumbe huu!maana anakuwa mbishi ka nini!
 
Hivi si akapime DNA ili awe na uhakika kama mtoto ni wake ama la! Hata hivyo kitanda hakizai haramu huyo mtoto amtunze tu whether wake au sio wake kwani tayari ameshazaliwa ndani ya ndoa yake.
 
sio lazima mimba ifikishe miezi 9. lakini kama wasiwasi umezidi si akapime DNA?
 
huyo kesha mchoka huyo mama hivyo anatafuta tu sababu za kuachana naye,hana lolote hivyo vingine ni visingizio tu
 
Kuna jamaa yangu best sana tangu primary!tulipotezana kwa mda baada ya yeye kuendelea na masomo.Baadae nilisikia yupo Uganda anafanya biashara kwa mda mrefu.Baada ya kitambo cha miaka kazaa aliamua kuachana na ubachera(single) na kutafuta mchumba.Njia aliyotumia ilikuwa ni kuchati kwenye mitandao si mda mrefu akafamiana na binti mmoja mkazi wa Nyamagana mjini mwanza.Binti huyu ni mwalimu.Awali binti alimwambia jamaa kuwa alikuwa na mahusiano na jamaa furani ila baada ya miaka kazaa walipotezana kwa sababu ya majukum ya hapa na pale.Inshu ni kwamba jamaa alidoo na huyo binti baada ya kukutana hawakutumia mpira.Tangu hapo walikuwa marafiki sana mpaka wakaamua kufunga ndoa.Cha ajabu jamaa yangu anakataa mtoto kuwa si wakwake kuwa ametwishwa mzigo.Baada ya kumliza kwa undani zaidi alisema kuwa alikutana na huyo binti kimwili tar 6 April 2010 na mtoto amezaliwa tar 27december2010.Kwa maelezo yake jamaa anasema kuwa binti alishamueleza kuwa anaingia mwezini kati ya hizi tarehe kila mwezi 25,27,29,au 1.Sasa jamaa ameamua kumkataa kwa kudai kuwa mtoto si wake kwa kuwa siku na tareh haviendani kwa mtoto kuzaliwa.Wana jf ushaurii tafadhali


jamani mimi sioni tatizo ni nini hapa,
mwende mkapime DNA,mmalize hicho kizungumkuti!
 
Kama hamtaki mtoto kwa sababu zingine aseme, wengine wanatamani sana hao watoto na kuwahangaikia.
Ila habari ya kujifanya anajua mzunguko wa period wa huyo dada kama vile anaenda yeye mwezini aache..kwanza anajua ni mzunguko mrefu au mfupi?anajua mzunguko unaweza kutofautiana kwa sababu kadhaa? alivyofanya kavu alitegemea ametoa mapovu?pia kubeba mimba anajua ni wiki ngapi?na kwamba inaweza isitimie miezi 9...Pheew! hayuko tayari kimalezi na aache sababu za kijinga!!


punguza jazba kidogo BJ,
Upo poa lakini?
 
Kama mama aliingia kwenye moon tarehe 25 march na akakutana na jamaa tarehe sita April, kimahesabu ni possible kupata mimba. lets say anableed kwa 5 days, maana yake mpaka tarehe 30, then kunakuwa na siku kama 5 hapo zipo powa tu, maana yake ni mpaka tarehe 4 April. then kuanzia siku ya 11 mara nyingi haishauriwi kudo kavukavu kama hamna lengo la kufanya uumbaji, that's to say kuanzia tarehe 5 april. na kama wali do tarehe 6 April maana yake ni siku ya 12. so mathematically ni likely kuwa uumbaji ulifanyika. Biologically, yai la mama hushuka siku ya 14 kwa mzunguko wa kawaida, siku ya 15 kwa mzunguko mrefu, na siku ya 13 kwa mzunguko mfupi. Sperm zinauwezo wa kuishi mpaka masaa 36. So, ukichukulia kimahesabu na kibiologia, kwa tarehe hiyo ni likely kuwa uumbaji ulifanyika.

Ukipigia hesabu siku ya kuzaliwa mtoto mara nyingi jumlisha siku 14 au toa siku 14(expected date + - 14). ukienda kimahesabu hayo huyo mtoto naona amezakiwa mwake kabisa.

Kama kuna more doubts wakafanye DNA test.
 
punguza jazba kidogo BJ,
Upo poa lakini?

Bacha niaje?powa nimepunguza, si unajua jamaa anabisha kama vile DNA imemhakikishia mtoto si wake? angetumia kinga je ingekuwaje??
Powa, enjoy your weekend mkuu...tc
 
Kuna jamaa yangu best sana tangu primary!tulipotezana kwa mda baada ya yeye kuendelea na masomo.Baadae nilisikia yupo Uganda anafanya biashara kwa mda mrefu.Baada ya kitambo cha miaka kazaa aliamua kuachana na ubachera(single) na kutafuta mchumba.Njia aliyotumia ilikuwa ni kuchati kwenye mitandao si mda mrefu akafamiana na binti mmoja mkazi wa Nyamagana mjini mwanza.Binti huyu ni mwalimu.Awali binti alimwambia jamaa kuwa alikuwa na mahusiano na jamaa furani ila baada ya miaka kazaa walipotezana kwa sababu ya majukum ya hapa na pale.Inshu ni kwamba jamaa alidoo na huyo binti baada ya kukutana hawakutumia mpira.Tangu hapo walikuwa marafiki sana mpaka wakaamua kufunga ndoa.Cha ajabu jamaa yangu anakataa mtoto kuwa si wakwake kuwa ametwishwa mzigo.Baada ya kumliza kwa undani zaidi alisema kuwa alikutana na huyo binti kimwili tar 6 April 2010 na mtoto amezaliwa tar 27december2010.Kwa maelezo yake jamaa anasema kuwa binti alishamueleza kuwa anaingia mwezini kati ya hizi tarehe kila mwezi 25,27,29,au 1.Sasa jamaa ameamua kumkataa kwa kudai kuwa mtoto si wake kwa kuwa siku na tareh haviendani kwa mtoto kuzaliwa.Wana jf ushaurii tafadhali

Mtoto anazaliwa kati majuma 38 (kuanzia aprili 6 hadi desemba 27) hadi majuma 42 wakati mwingine.
Kiutalaamu inawezekana kabisa mtoto ni huyo jamaa...mahesabu ya tarehe na muda wa ujauzito yanatoa nafasi kubwa sana kwamba mtoto ni wa jamaa, labda kama kuna mashaka mengine....kuondoa mashala apime DNA (ila ina madhara ya muda mrefu sana ikiwa itathibitika mtoto ni wa jamaa).

Childbirth usually occurs about 38 weeks after conception; in women who have a menstrual cycle length of four weeks, this is approximately 40 weeks from the last normal menstrual period (LNMP). The World Health Organization defines normal term for delivery as between 37 weeks and 42 weeks
....source
 
Huyo kaka aache ushamba, kama kweli ana nia ya kujua mtoto wa nani si kuna DNA, akapime. Unless hana hela, niko tayari hata kuchanga ili ukweli ujulikane. wanaume siku hizi wamezidi sana kutwa wangu wangu kukatika bila Condoma end of the day unaanza kufanya hesabu za kipuuzi, siku za mwenzio anazijuaje? Ama kweli ushamba hauna kwao kwa huyo mkaka nafikiri umeota mizizi.

Ole wako wewe mama kama umemsakizia mwenzio unaumbuka. DNA yaja hiyo!
 
Back
Top Bottom