Jpinduzi
Senior Member
- Feb 26, 2011
- 136
- 68
Kuna jamaa yangu best sana tangu primary!tulipotezana kwa mda baada ya yeye kuendelea na masomo.Baadae nilisikia yupo Uganda anafanya biashara kwa mda mrefu.Baada ya kitambo cha miaka kazaa aliamua kuachana na ubachera(single) na kutafuta mchumba.Njia aliyotumia ilikuwa ni kuchati kwenye mitandao si mda mrefu akafamiana na binti mmoja mkazi wa Nyamagana mjini mwanza.Binti huyu ni mwalimu.Awali binti alimwambia jamaa kuwa alikuwa na mahusiano na jamaa furani ila baada ya miaka kazaa walipotezana kwa sababu ya majukum ya hapa na pale.Inshu ni kwamba jamaa alidoo na huyo binti baada ya kukutana hawakutumia mpira.Tangu hapo walikuwa marafiki sana mpaka wakaamua kufunga ndoa.Cha ajabu jamaa yangu anakataa mtoto kuwa si wakwake kuwa ametwishwa mzigo.Baada ya kumliza kwa undani zaidi alisema kuwa alikutana na huyo binti kimwili tar 6 April 2010 na mtoto amezaliwa tar 27december2010.Kwa maelezo yake jamaa anasema kuwa binti alishamueleza kuwa anaingia mwezini kati ya hizi tarehe kila mwezi 25,27,29,au 1.Sasa jamaa ameamua kumkataa kwa kudai kuwa mtoto si wake kwa kuwa siku na tareh haviendani kwa mtoto kuzaliwa.Wana jf ushaurii tafadhali