kuna mdada nampenda sana tupo naye chuo kimoja japo college tofauti juzi nilimtumia meseji ya kutakata awe gf wangu leo amenijibu kama ifuatavyo.
"samahani kwa kuchelewa kukujibu nahitaji mume kwa sasa na si bf na awe wa imani sawa na mimi " yeye ni msabato ninashindwa niendeleaje dini zetu ni tofauti what should i do great thnikers.
namuhitjai sana tu.
"samahani kwa kuchelewa kukujibu nahitaji mume kwa sasa na si bf na awe wa imani sawa na mimi " yeye ni msabato ninashindwa niendeleaje dini zetu ni tofauti what should i do great thnikers.
namuhitjai sana tu.