nyumba kubwa
JF-Expert Member
- Oct 8, 2010
- 10,309
- 8,369
Tukirudi kwa average Tanzanian; hiyo ela ya kuweka trust fund unatoa wapi? Wakati mshahara si hajabu aufiki mwisho wa mwezi.
ungenijibu maswali yangu tungeelewana..
unajua maana pre nuptial agreement?
trust funds??????
wosia???????
wapo watu wanaishi kwa mali za babu,utasemaje hapo????/
huyo profesa ni hadithi nyingine,haihalalishi watu kuishi kienyeji still....