jamii01
JF-Expert Member
- Oct 1, 2010
- 1,969
- 1,392
Nategemea kuoa hivi karibuni lakini sharti la kwanza nimeambiwa nikapime ukimwi,ukweli naogopa sana na kila wakati nikifikilia hilo jambo la upimaji,mpenzi wangu amegoma kushirikiana na mimi mpaka nikapime,kwa sababu nilikuwa nje kwa masomo,ukweli nimefanya mapenzi kwa mara ya mwisho kama miezi 9 iliyopita na kote huko nilikuwa nacheza game na condom,ishu kuna wengine nilikuwa nawapa wananyonya mpaka na nawamwagia mbegu zangu wanakunya,na wengine nilikuwa nawageza..ila bado mbele na nyuma kote nilikuwa natumia condom.Ila bado naogopa nifanyeje,naombeni ushauri..